KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Nakazia, bodaboda ni kama Kenge. Kusikia kwao hadi damu ziwatoke masikioni.Sijuwi kama watakusikia
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia, bodaboda ni kama Kenge. Kusikia kwao hadi damu ziwatoke masikioni.Sijuwi kama watakusikia
Ova
Tunakusubiri kwa hamu huku Kijiweni utupe elimu hiyo,hapa sijaelewa vizuri.Ahsante sana Kaka. Nikawaelimishe wanangu kijiweni leo
Wewe ni ME au KE?Ahsante sana Kaka. Nikawaelimishe wanangu kijiweni leo
Kiukweli kabisa maeneo ya mijini kwenye vurugu nyingi huwa napinga sana wanafunzi kutumia usafir wa boda boda,,wazazi mliangalie hiliJumamosi hapo.mabwe.boda boda kaovatake. Mbele gqri linakuja.akaona hawezi kuliwahi akaingia mzima mzima upande wake.akateleza kwenye matope Lori likajakumpitia.wanafunzi watatu na yeye wanne.wqmerudi kwa mungu
Hiyo ni sawa na mtu kubet maisha yake,Hawa jamaa niliwaona wanajitoa ufahamu baada ya kusikia kwamba huwa wanawekeana dau kuvuka barabara bila kuangalia kulia na kushoto kwa dau la 5,000/=
Nikawapa medali zao za dhahabu
Mkuu,Kutokana na changamoto za waendesha Pikipiki, nimeona niwakumbushe tena kwani wengi hufanya mzaha barabarani bila kujua kuwa Mwili wao ndio bodi ya pikipiki!
1. Usikae ubavuni mwa gari, kwa kuwa hutajua maamuzi dereva wa gari anayotaka kufanya
2. Usiendeshe katikati ya Barabara kwa kuwa magari yanakimbia sana hivyo unayazuia kuovertake - utagongwa
3. Usiovertake gari na kukaa mbele yake huku ukipunguza mwendo; utagongwa. Ukiovertake gari, ongeza mwendo au sogea kushoto kabisa mwa barabara
4. Usiendeshe bila vioo vya pembeni (side mirror mjini) kwani hutaona gari linalokuja nyuma- utagongwa!
5. Usiendeshe kwa kupanga msitari (moja nyuma ya nyingine) katikati ya Barabara. Mnaweza kuendesha hivyo ila iwe kushoto kabisa mwa barabara.
6. Usichomekee gari ukitegemea lisimame/lipunguze mwendo, sio magari yote yenye break za karibu kama pikipiki. Majuzi hapa mmoja kafa pale Msamvu/Moro kwa ujinga wake
7. Ukiona gari imesimama, usipite kabla ya kujua kwa nini imesimama; unaweza kuta imepisha gari nyingine iingie barabarani...utagongwa!
8. Usibebe mzigo unaopita sana pembeni mwa pikipiki (mbao, mabati, bomba nk) ukiguswa tu kidogo, utasokotwa kama pia, ukipona shukuru Mungu.
Muhimu:
1. Endeshea kushoto (pembeni kabisa) mwa Barabara muda wote, kumbuka magari yanakimbia sana kuliko Pikipiki hivyo ukiwa kushoto/pembeni, yataweza kukupita/kukukwepa bila shida.
2. Narudia tena - endeshea kushoto kabisa mwa Barabara... Pikipiki inaweza tu kuyapita magari kwenye msongamano, au Barabara mbovu za vumbi ila sio highway (Barabara kuu)
ampe mwisho mwema kama ule wa boda boda.Mkuu,
Umewaza Nini kuanzisha hii thread
All in all ,
Mungu akupe mwisho MWEMA
Wabishi sanaNakazia, bodaboda ni kama Kenge. Kusikia kwao hadi damu ziwatoke masikioni.
Najua unapigia gitaa mbuzi, lakini wenye kukuelewa na wakueleweKutokana na changamoto za waendesha Pikipiki, nimeona niwakumbushe tena kwani wengi hufanya mzaha barabarani bila kujua kuwa Mwili wao ndio bodi ya pikipiki!
1. Usikae ubavuni mwa gari, kwa kuwa hutajua maamuzi dereva wa gari anayotaka kufanya
2. Usiendeshe katikati ya Barabara kwa kuwa magari yanakimbia sana hivyo unayazuia kuovertake - utagongwa
3. Usiovertake gari na kukaa mbele yake huku ukipunguza mwendo; utagongwa. Ukiovertake gari, ongeza mwendo au sogea kushoto kabisa mwa barabara
4. Usiendeshe bila vioo vya pembeni (side mirror mjini) kwani hutaona gari linalokuja nyuma- utagongwa!
5. Usiendeshe kwa kupanga msitari (moja nyuma ya nyingine) katikati ya Barabara. Mnaweza kuendesha hivyo ila iwe kushoto kabisa mwa barabara.
6. Usichomekee gari ukitegemea lisimame/lipunguze mwendo, sio magari yote yenye break za karibu kama pikipiki. Majuzi hapa mmoja kafa pale Msamvu/Moro kwa ujinga wake
7. Ukiona gari imesimama, usipite kabla ya kujua kwa nini imesimama; unaweza kuta imepisha gari nyingine iingie barabarani...utagongwa!
8. Usibebe mzigo unaopita sana pembeni mwa pikipiki (mbao, mabati, bomba nk) ukiguswa tu kidogo, utasokotwa kama pia, ukipona shukuru Mungu.
Muhimu:
1. Endeshea kushoto (pembeni kabisa) mwa Barabara muda wote, kumbuka magari yanakimbia sana kuliko Pikipiki hivyo ukiwa kushoto/pembeni, yataweza kukupita/kukukwepa bila shida.
2. Narudia tena - endeshea kushoto kabisa mwa Barabara... Pikipiki inaweza tu kuyapita magari kwenye msongamano, au Barabara mbovu za vumbi ila sio highway (Barabara kuu)
Wale waleeeeNi sheria ipi inayosema dereva pikipiki aendeshe pikipiki pembeni,halafu Watembea kwa miguu wapite wapi?.chombo chochote cha moto ni lazima kipite katikati ya barabara.
Nchi za Afrika madereva magari na bodaboda wote ni matatizo kwa kuwa Polisi hawasimamii sheria ipasavyo.
Aisee tunashukuru kama unayo nyingine inayoonyesha kichwa cha mwanadamu kimopondeka kama kisamvu kilichotwanga kwenye kinu usisite kuifanyia bandiko humuNa kapicha kakusindikizia uzi
View attachment 2989828
😂😂😂😂jamaniWanao hawaelewi kabisa, na kila siku wanashuhudia wenzao wanavyopoteza maisha lakini hata kubadirika hawataki na ndio Kwanza huwa wanatafuta na mbwembwe za ziada 😂😂😂
Hapana Mkuu, mimi mwenyewe ni bodaboda.Bodaboda wako....
🤣🤣🤣🤣🤣usijali kaka, leo nina tenda ya mbali huku ndo maana sijafika kijiweni😂Tunakusubiri kwa hamu huku Kijiweni utupe elimu hiyo,hapa sijaelewa vizuri.
KE Mkuu.Wewe ni ME au KE?