Mwendesha Bodaboda, kama unapenda kuishi, pitia hapa!

Mwendesha Bodaboda, kama unapenda kuishi, pitia hapa!

Elimu nzuri sana na muhimu kwa bodaboda.
 
Nilishagongwa na bodaboda nikiwa natembea pembezoni mwa barabara asee nilipaa hewani siezi sahau mpaka Leo nimebaki na ngeu yangu kichwani!
Sikuizi nikitembea road nilisikia Mlio wa pikipiki naweza geuka spiderman! Yaani nachukia bodaboda kikuzi
 
Hii tabia yao ya ku overtake afu anapunguza mwendo mbele yako, unaweza tamani ukagonge ili akili ikawe sawa ila unafunika kombe mwanaharamu apite tuu.
 
Ni sheria ipi inayosema dereva pikipiki aendeshe pikipiki pembeni,halafu Watembea kwa miguu wapite wapi?.chombo chochote cha moto ni lazima kipite katikati ya barabara.

Nchi za Afrika madereva magari na bodaboda wote ni matatizo kwa kuwa Polisi hawasimamii sheria ipasavyo.
Jamaa hajasema ni sheria, kasema ni ushauri, ilq kama wewe unaona ni sawa kushindana na magari kwa barabara hizi za kiafrika basi kila la kheri shekhe.
 
No. 7 . Yaan hata kwenye zebra anaona kabisa gari zimesimama ila bodaboda wao hunyoosha tu, hata kuwaza kwanini magari yamesimama Wala hawajali
 
Back
Top Bottom