Mwendesha Bodaboda, kama unapenda kuishi, pitia hapa!

Jumamosi hapo.mabwe.boda boda kaovatake. Mbele gqri linakuja.akaona hawezi kuliwahi akaingia mzima mzima upande wake.akateleza kwenye matope Lori likajakumpitia.wanafunzi watatu na yeye wanne.wqmerudi kwa mungu
 
Ongezea: Namba 3> anapo overtake ahakikishe ameangalia mwendokasi kwenye dashboard na kufahamu ni speed gani anayemwovatake anaenda nayo.

No 6. inaendana na namba 3 > hakuangalia speed ya counter part, kisha anakuja chomekea
 
Jumamosi hapo.mabwe.boda boda kaovatake. Mbele gqri linakuja.akaona hawezi kuliwahi akaingia mzima mzima upande wake.akateleza kwenye matope Lori likajakumpitia.wanafunzi watatu na yeye wanne.wqmerudi kwa mungu
Kiukweli kabisa maeneo ya mijini kwenye vurugu nyingi huwa napinga sana wanafunzi kutumia usafir wa boda boda,,wazazi mliangalie hili
 
Mkuu,
Umewaza Nini kuanzisha hii thread

All in all ,
Mungu akupe mwisho MWEMA
 
Ni sheria ipi inayosema dereva pikipiki aendeshe pikipiki pembeni,halafu Watembea kwa miguu wapite wapi?.chombo chochote cha moto ni lazima kipite katikati ya barabara.

Nchi za Afrika madereva magari na bodaboda wote ni matatizo kwa kuwa Polisi hawasimamii sheria ipasavyo.
 
Najua unapigia gitaa mbuzi, lakini wenye kukuelewa na wakuelewe
 
Wale waleeee
 
Wanao hawaelewi kabisa, na kila siku wanashuhudia wenzao wanavyopoteza maisha lakini hata kubadirika hawataki na ndio Kwanza huwa wanatafuta na mbwembwe za ziada ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚jamani
 
Tunakusubiri kwa hamu huku Kijiweni utupe elimu hiyo,hapa sijaelewa vizuri.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃusijali kaka, leo nina tenda ya mbali huku ndo maana sijafika kijiweni๐Ÿ˜‚
Tupatane jioni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ