Mimi watu walioruhusu hiz bajaji na Bodaboda ndo walikosea kabisa.Na aliyeruhusu bajaj kuja mjini ndiyo kaharibu kabisa. Angalia zinavyopaki ovyo na kusababisha msongamano barabarani. Hizi zilitakiwa ziishie bara bara za mitaani tu siyo trunk roads. Ukizingatia ukosefu wa ustarabu kwa madereva wa hivyo vibajaj huwezi kuelewa kwa nini vinaruhusiwa kuingia mjini kati
They don't careNajiulizaga sana; hivi viongozi hawainagi AIBU kwa kufeli mradi kama hu? Yaani hawaoni aibu kabisaaa yaani? Interesting
kwa taarifa yako daldala kwa sasa ni more comforatble kuliko hayo ma mwendo kasi yenu mnajaza kama samaki kwenye tenga, and this has been done strategicallyWe ni mbuzi kweli aliekwanbia wanaopanda mwendokasi hawana hela ni nani
Mwendokasi ndio usafiri umewafanya watu kuacha magari kukimbia foleni na uchovu usijidanganye
Na wanataka tuwachague tena yaani.They don't care
Ngoja kwanza tuwahudumie chawa, hawa jambo lao muhimu sana ni mwishoni mwa mwaka huu.Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda Moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa Moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
Sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku