Mwendokasi hali ni mbaya

Mimi watu walioruhusu hiz bajaji na Bodaboda ndo walikosea kabisa.
Siku hiz Dar haina tofauti na dhaka na india huko.
Yaani kuua mradi wa mabasi, basi linaloweza kubeba watu 100+ na kuruhusu bajaji/bodaboda inayobeba watu maximum wanne. Halafu utegemee umalize foleni Dar?
 
We ni mbuzi kweli aliekwanbia wanaopanda mwendokasi hawana hela ni nani

Mwendokasi ndio usafiri umewafanya watu kuacha magari kukimbia foleni na uchovu usijidanganye
kwa taarifa yako daldala kwa sasa ni more comforatble kuliko hayo ma mwendo kasi yenu mnajaza kama samaki kwenye tenga, and this has been done strategically
 
Ngoja kwanza tuwahudumie chawa, hawa jambo lao muhimu sana ni mwishoni mwa mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…