Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Bongo kwa lawama.
Kama ulikua hujui ndgu hii nchi ni nchi ya janjajanja.
Ukizubaa wenzao wanatumia uzubavu wako kama daraja.
Hapo ungeanzisha vurumai hapohapo stendi hao jamaa wangeshuka wakapanga foleni, ila kwakua nyie ni wazubavu, unaacha kupambana hapo kwanza unaleta huku jf acha waendelee kupendeleana.
Kama ulikua hujui ndgu hii nchi ni nchi ya janjajanja.
Ukizubaa wenzao wanatumia uzubavu wako kama daraja.
Hapo ungeanzisha vurumai hapohapo stendi hao jamaa wangeshuka wakapanga foleni, ila kwakua nyie ni wazubavu, unaacha kupambana hapo kwanza unaleta huku jf acha waendelee kupendeleana.