Mwendokasi wa 60 KPH nitatumia saa ngapi kutoka Mwanza mpaka Mbeya?

Mwendokasi wa 60 KPH nitatumia saa ngapi kutoka Mwanza mpaka Mbeya?

fkawogo

Senior Member
Joined
May 30, 2013
Posts
131
Reaction score
37
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
 
1,350km divided by 60km/hr equals to 22 hrs.

Plus or minus 1 hour la break, refuel, foreni, kukojoa, trafick, kuangalia mizigo (misambw**).

Ushahuri wa bure. Panda ndege au kama kuna ulazima gari muwe madereva wawili.

Hafu ukifika Iringa ile barabara ilivo mkeka lazima utapiga 100+ km/hr.
 
1,350km divided by 60km/hr equals to 22 hrs.

Plus or minus 1 hour la break, refuel, foreni, kukojoa, trafick, kuangalia mizigo (misambw**).

Ushahuri wa bure. Panda ndege au kama kuna ulazima gari muwe madereva wawili.

Hafu ukifika Iringa ile barabara ilivo mkeka lazima utapiga 100+ km/hr.
Asante Sana mtalaamu nimekuelewa umepanga vizuri sana
 
60 mbona ndogo sana, hapo kumbuka kuna zile 50 za kutosha tu.
Angalau ungeenda kwa 80kph bado sio speed kubwa.
Daaaa 80 naona km kubwa lkn itabidi nijaribu maana wanasema barabara iringa mbeya ni mkeka
 
Tembea 80 hadi 100 mzee, au una tairi kipara....
 
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
Hiyo 60kph ndo itakuwa maximum speed unayotaka kutembelea au ni makadirio ya average speed utakayotembelea?
 
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
Hata kirikuu sio 60KM/H kama gari la kawaida kabisa speed recommended ni 100 -120 paliponyooka sizidi 130
 
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
Fanya ivi,toka mwanza ukalalie mtera Iringa,siku pili ya pili yake toka hapo Iringa Mtera kwenda Mbeya
 
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
Nakushauri safiri usiku, hizo spidi limiti hazipo unaweza kupiga 120 mpaka 160.
 
Kiufupi hujawahi kuendesha high way na unataka kufanya hivyo kwa mara ya kwanza. Maana 60KPH kwa Safari sio mwendo hata kwa gari bovu. Anyway piga mashine tu usiogope ila nakuhakikishia utajikuta umefika 100 KPH bila kujua ukidhani bado upo 60. Highway ni habari nyingine jitahidi usikanyage sana..ila hiyo 60 unajidanganya
 
Ulifanikisha lengo lako?

Kama ndio naamini ulitumia wese la kutosha
 
Kuendesha gari kwa kasi ndogo barabara kuu ni hatari na kosa kwa mujibu wa sheria. Tafuta dereva.
 
Back
Top Bottom