Mwendokasi wa 60 KPH nitatumia saa ngapi kutoka Mwanza mpaka Mbeya?

Mwendokasi wa 60 KPH nitatumia saa ngapi kutoka Mwanza mpaka Mbeya?

Piga 160, kufa kufa tu. unaweza utatembea taratibu wenzako wakaja wakakugonga.
 
Naomba msaada kwa wenye maarifa ya kikokotoo hiki. Nina Safari ya kwenda Mbeya kwa usafiri wa gari langu.

Ninachotaka kujua je kwa speed ya 60 nitatumia masaa mangapi kufika Mbeya? Maana kwakweli sio mpenzi wa kutembea na gari kwa speed kubwa.

Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Au kwa speed hiyo ya 60 naweza nikatembea kilometa ngapi kwa saa? Msaada ndugu zangu ikizingatiwa napita njia ya Iringa natokea Mwanza via Iringa mpaka Mbeya. Kutoka Mwanza mpaka Mbeya via Iringa ni kilometa 1350.
Japo najua ulifika salama, hongera kwa kununua gari, naona una ugeni na safari ndefu kwa hiyo 60kph.

Ila hesabu ndugu yangu, ulikua uzipendi kabisa.

Speed ikiwa 60kph, ni 60km per hour, ina maana kwenye kila 60km unatumia saa moja, so uwezi sema 60kph huku unauliza tena nitatumia masaa mangapi kwenye 60km..

Mbeya wanasemaje mkuu, misambwanda ipo?
 
kiuhalisia utatumia 33.75 hours, nikiwa na maana real average speed yako itakuwa 40km/hr. sija-consider muda wa kula, easing yourself, na kama utapumzika kulala sehemu
 
Siku nyingine unaondoka mza unaenda lala dodoma tena unafika mapema tu,kesho yake unaanza safari kwenda mbeya unafika mapema tu
 
Back
Top Bottom