Hamna Mkuu!Hatushauriwi wala hatupewi miongozo au nini cha kufanya na watu wanafiki kama wewe..
Hivo yaani.
Ile inaitwa 'NGEKEWA' au ''LUCKY" kwa kimombo, na wengine huita '''BAHATI'....Tatizo kona siku hizi hazipatikani ili Kichuya apige ziingie moja kwa moja
hahaha mbumbumbu kapanik.Wewe mleta mada punguza unywaji wa matap tap ligi bado mbichi kuongoza kwa point moja kelele subiri ligi iishe uongee acha shombo za kijinga kwan wewe Azam si kakutoboa vinne!??
Mbumbumbu hujioni wewe?hahaha mbumbumbu kapanik.
tatizo wanafika kileleni mapema!!!!! wenzao yanga tunapiga kazi sana kabla ya kufika kilelen