Mwenezi CCM Arusha: Kama huna Kadi ya CCM umemsaliti Mungu

Mwenezi CCM Arusha: Kama huna Kadi ya CCM umemsaliti Mungu

Tatizo la afya akili linazidi kutafuna kizazi hiki
 
Anza kwanza uchambuzi wa maoni yako mtoa mada.

Kutuacha tujadili wanajamvi halafu wewe upo pembeni unatuzoom ni sawa na kutupia mbwa marapu rapu kisha ukajiweka pembeni kufurahia wanavyoyafakamia.
Kikubwa nilichokiona mm ni kwa namna gani watanzania tuliowengi tuna uwezo mdogo wa kufikiri.

Mana katika hali ya kawaida,kwa binadamu anaejielewa hata kama ana mapenzi na chama hawezi kufikia stage ya kuongea maneno hayo.

Isitoshe inaonekana kama ni kiongozi wa kidini,hata hao waumini wake wanamshangaa.
 
Kikubwa nilichokiona mm ni kwa namna gani watanzania tuliowengi tuna uwezo mdogo wa kufikiri.

Mana katika hali ya kawaida,kwa binadamu anaejielewa hata kama ana mapenzi na chama hawezi kufikia stage ya kuongea maneno hayo.

Isitoshe inaonekana kama ni kiongozi wa kidini,hata hao waumini wake wanamshangaa.
Hapo tumekwenda pamoja.
 
Tatizo la afya ya akili lipo kwa kiasi kikubwa sana na wengi hawajitambui .....huyo muongeji hapo anatakiwa kutibiwa
 
Akiulizwa kasema nini hapo, hata yeye atashangaa na hataamini kama amesema kitu hicho

Pombe za kichaga noma sana
 
Hapo anaongea akiwa kanisani ama?
Na hao wote ni waumini wa dini moja?

Basi mimi kwa maswali hayo sina la nyongeza
 
Watu wanajitoa akili ili maisha yao yaende ...

Sasa swali fikirishi, kama anaweza jitoa akili namna hii mbele za watu, je atashindwa kutoa KALIO huko sirini? 🤔

🤣😂
 
Back
Top Bottom