Mwenezi CCM kupatikana 03/04/2024; Nani anafaa kurithi mikoba ya Makonda?
Ujio wa nchimbi tulijua tu bashite hatakuwa na nafasi ya kudumu pale ccm, wamempeleka kwa wavuta bhange huku waka muhenyeshe.

Kule hawezi kuwa mbabe kwakuwa sera za hangaya sio za jiwe hivyo itabidi acheze kwa steps vingenevyo ataondolewa tena
 
Angalia wanaotajwa kupewa uenezi

Screenshot_2024-04-03-15-34-21-1.png


Kama Majina haya ndio yanayotajwa kweli basi , UTUKUFU WA MUNGU NI WA AJABU SANA
 
Angalia wanaotajwa kupewa uenezi

View attachment 2952861


Kama Majina haya ndio yanayotajwa kweli basi , UTUKUFU WA MUNGU NI WA AJABU SANA
Tatizo wanazunguka ndani humo humo ni kama mzunguko flani hivi,watu sahihi wazuri wapo kibao nje,ila Tatizo lipo kwa wanaofanya vetting

Teuzi zenyewe watu wanarudiwa wale wale utadhani Nchi hii haina watu
 
Kuna makatibu wa ccm wa wilaya hawajui kuandika,Wanajua kusoma tu.
Na Wilaya hiyo hiyo Ina Graduates zaidi ya 6,000 hawapewi hiyo kazi.
CCM ni Janga
Watu wazuri smart wapo ila ndio hivo
Watapitaje mpk wajulikane

No connection
Kilichobaki wanarudiana wao kwa wao tu
 
Back
Top Bottom