Mwenezi wa CCM Ndg. Shaka na Mkutano mkubwa na Waandishi wa Habari Januari 12, 2023

Mwenezi wa CCM Ndg. Shaka na Mkutano mkubwa na Waandishi wa Habari Januari 12, 2023

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

2c7b068f954f48ceb9b88fede027181d.jpg


#CCMImetimia
#KaziIendelee
 
Mikutano na Waandishi Kila siku? We are tired, watuache tusikilize shida zetu.
 
IMG-20230114-WA0276.jpg

Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

Macho na masikio ya Watanzania ni juu ya mkutano huu kuwa maalum, Waandishi wa habari wa Wanahabari Karibuni LUMUMBA kujua nini ni nini.

#CCMImetimia
#KaziIendelee
 
Hakunaga mkutano mkubwa au mdogo na waandiahi wa habari.
 
View attachment 2480834
Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

Macho na masikio ya Watanzania ni juu ya mkutano huu kuwa maalum, Waandishi wa habari wa Wanahabari Karibuni LUMUMBA kujua nini ni nini

#CCMImetimia
#KaziIendelee
Kazi iendelee, Safi Sana CCM Tanzania, Naipenda sana CCM nitailinda kwa gharama YEYOTE
 
View attachment 2480834
Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

Macho na masikio ya Watanzania ni juu ya mkutano huu kuwa maalum, Waandishi wa habari wa Wanahabari Karibuni LUMUMBA kujua nini ni nini

#CCMImetimia
#KaziIendelee
Jamaa ana mume mombasa
 
View attachment 2480834
Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

Macho na masikio ya Watanzania ni juu ya mkutano huu kuwa maalum, Waandishi wa habari wa Wanahabari Karibuni LUMUMBA kujua nini ni nini

#CCMImetimia
#KaziIendelee
Atazungumzia na wagonjwa wetu walioko nje ya nchi?
 
🔰🔥MWENEZI SHAKA NA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI SAA 11 JIONI LEO🇹🇿.

Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

#CCMImetimia
#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom