Hao ni wanaume wa mikoani walio hamia daslam kama wafanya biashara ndogondogo mkuu..... huko darslam wanaume wao hawawezi hata kurusha mawe🤣🤣Ni ishara nzuri sana, hatimae wanaume wa Dar wameanza kuwadindia form four failures
Kwanini serikali haiongei na wahusika kabla ya kuleta majanga kama haya.. tangia mwanzo!!!
Kwanza wengi wao hawajawahiona jiwe maishani mwao. Huwezi amini ila ndiyo ukweli.Hao ni wanaume wa mikoani walio hamia daslam kama wafanya biashara ndogondogo mkuu..... huko darslam wanaume wao hawawezi hata kurusha mawe🤣🤣
Nimepita hapo palikuwa na foleni la hatari bora ningezunguka Kawe.Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe...
Si jana tumeambiwa wameandamana kumpogeza Samia. Au walikuwa machinga kutoka Burundi.Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe...
ACT Wazalendo pamoja na Zitto Kabwe wanakuunga mkonoTunataka jeshi nchini Niger irudishe mara moja serikali ya kiraia
Hauwezi ukatumia hekima na ukafaulu kwa wamachinga na bodaboda.Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe.
Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola.
Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike.
=======
Pia soma mdau huyu aliyekumbushia kuhusu sakata la Wamachinga Mwanza:
Sakata la Wamachinga na mgambo Mwanza lilishia wapi? Walipewa maeneo au walirudi barabarani?
Sipat picha kama ungelelewa na mzaz anajipatia kipato maeneo ya namna hiyo ,hii reply ungefuta tuItumike hekima Kwa mtu aliyeshika jiwe kama silaha?
Yale Yale ya Bi Simba kutetea jambazi lenye silaha na kusema hakutakiwa kuuawa alitakiwa kukamatwa na wakati amekufa akiwa anapambana na askari.
Tusiwe wepesi wa kutetea uhalifu, askari huwa wanaotoa amri kabla ya kutekeleza. Kwa Nini machinga wasikubali ili kuepusha Shari maana askari wapo kwenye utekelezaji wa majukumu?
Waende wap ?Mbona RC Chalamila alishaenda hapo mwenge akawataka waondoke? Sijawahi ona wamachinga wakihamishwa eneo kirahisi rahisi.
Ni tafranNimepita hapo palikuwa na foleni la hatari bora ningezunguka Kawe.
Kudadek
Mimi numewahi kuwa kiongozi.Hauwezi ukatumia hekima na ukafaulu kwa wamachinga na bodaboda.
Hakuna mmachinga anayetaka kufuata sheria, nenda Mbagala ukaone wamachinga wanavyowapa tabu wajenzi wa barabara ya mwendokasi, wajenzi wanaweka vitofali vya sehemu ya watembea kwa miguu wao wanang'oa wanavitumia! Wajenzi wanajenga mtaro wao wanatumbukiza taka za miwa, matunda na mbogamboga, ni elimu ipi uwape! Kila siku wanafukuzana na mgambo.Mimi numewahi kuwa kiongozi.
Eneo langu la utawala tuliweza kuepuka haya madhila kwa kutumia busara na hekima.
WAmachinga wanahitajika sana jamii ya uchumi wa chini.
Wafanyabiashara nao ni muhimu.
Kiongozi mwenye hekima anajua namna ya kuweka uwiano bila makundi kutafunana
Huyu falla ya DPW kayafumbia macho lkn ya Niger anayalaani...dogo ni dogi sanaACT Wazalendo pamoja na Zitto Kabwe wanakuunga mkonoView attachment 2707526
Wameshindwa kupigania Bandari zao eti wanapigania maslahi ya mabeberu nchini Niger.ACT Wazalendo pamoja na Zitto Kabwe wanakuunga mkonoView attachment 2707526
😅😅😅Huyu mupe huyo muruke ndio madhara yake haya
WAmeshindwa kuficha upumbavu waoACT Wazalendo pamoja na Zitto Kabwe wanakuunga mkonoView attachment 2707526