johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ulizia taa 1 Bei Yake ndio utajua watu wametumwa pesaKulikua Hamna haja kabisa ya taa zote hizo na kwa kweli hii imekua nchi ya Jenga Bomoa Jenga Bomoa.
Barabara kama hiyo Mwenge Morocco ingewekwa njia 8 kabisa Ili angalau kwa Muda iweze kutumika sasa Bado Wanajenga kwa style ile ile Njia 4 wakati wanajua mji umekua sana huu.
Ila naona wamekewa na sehemu ya mwendokasi......sio njia nane zile ?Kulikua Hamna haja kabisa ya taa zote hizo na kwa kweli hii imekua nchi ya Jenga Bomoa Jenga Bomoa.
Barabara kama hiyo Mwenge Morocco ingewekwa njia 8 kabisa Ili angalau kwa Muda iweze kutumika sasa Bado Wanajenga kwa style ile ile Njia 4 wakati wanajua mji umekua sana huu.
Jo zinakuruka ujueUkitokea Mwenge kuelekea Morocco
Traffic lights
1. Mwenge
2. Njia panda ya ITV
3. Bamaga
4. Sayansi
5. Millenium tower
6. Makumbusho
7. Njia panda ya Mwananyamala
8. Njia panda ya Kairuki hospital
9. Njia panda ya Chato ( Vodacom)
10. Morocco
Vituo vya Daladala
1. ITV
2. Bamaga
3. Sayansi
4. Makumbusho
5. Victoria
6 Vodacom
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Wa stand!
Vunga tu hakuna namna
Hahahaaaa..... Kutoka mwenge hadi Ufipa ukitaka kuwahi pita Akachube road!Jo zinakuruka ujue
Hahahaaaa..... . .!Bamaga - Shekilango
Zamani ilikuwa poa.
Sahivi wameweka taa kila sehemu.
Sipiti tena hiyo njia.
IlaniNi kwa sababu ya maungio nadhani... Ila zina chelewesha sana...
Ina maana wameongeza taa tena hawa watu ni wapuuzi sana aisee😅😅😅! Mataa mengine hayana maana wangeacha za Bamaga tu na za Sayansi zile junction kama ya Victoria sio muhimu sana sababu kuna matutaUkitokea Mwenge kuelekea Morocco
Traffic lights
1. Mwenge
2. Njia panda ya ITV
3. Bamaga
4. Sayansi
5. Millenium tower
6. Makumbusho
7. Njia panda ya Mwananyamala
8. Njia panda ya Kairuki hospital
9. Njia panda ya Chato ( Vodacom)
10. Morocco
Vituo vya Daladala
1. ITV
2. Bamaga
3. Sayansi
4. Makumbusho
5. Victoria
6 Vodacom
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Hapa naskia harufu ya upigaji kwenye uwekaji wa hizi Taa imekuwa kama mradi wa Mtu! Njia ya Shekilango to Bamaga imejaa taa kila baada ya kilometre moja!Badala kuondoa foleni tumeongeza. Angalia hata Barabara ya Shekilango na Sam Nujoma kutokea Mlimani City sasa kuna mi foleni ya haja
Bora wajenge Mfugale za kutosha kupunguza msongamano kuliko Taa.Hapa naskia harufu ya upigaji kwenye uwekaji wa hizi Taa imekuwa kama mradi wa Mtu! Njia ya Shekilango to Bamaga imejaa taa kila baada ya kilometre moja!