Mwenge wa Uhuru utazimwa Chato mkoani Geita ukiambatana na Misa takatifu ya kuwaombea mahayati Magufuli, Mkapa na Nyerere katika Kanisa Katoliki

Mwenge wa Uhuru utazimwa Chato mkoani Geita ukiambatana na Misa takatifu ya kuwaombea mahayati Magufuli, Mkapa na Nyerere katika Kanisa Katoliki

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri Jenister Mhagama amesema Mwenge wa Uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT

Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.

Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.

Chanzo: Star tv
 
WATU WALUPONDA CHATO NA KUMPONDA MAGUFURI,,SASA WAMWGUBDUA WATANZANIA WANAMTHAMINI MAGUFURI WAMEAMUA KUJIRUDI..NAKUHAKUKISHIA CHATO ITAKUWA MKOA KABLA YA 2025
 
Waziri Jenister Mhagama amesema mwenge wa uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT

Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.

Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.

Source: Star tv!
Ccm wanapukutika, wajiangalie wamekosea wapi?
 
Waziri Jenister Mhagama amesema mwenge wa uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT

Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.

Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.

Source: Star tv!
Aaamin aaamina wapumzike mahali pema peponi miamba hawa
 
Waziri Jenister Mhagama amesema mwenge wa uhuru utakamilishia mbio zake katika wilaya ya Chato mkoani Geita ikiwa ni kumbukumbu ya kumuenzi hayati Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa JMT

Katika hitimisho hilo la mbio za mwenge itafanyika misa takatifu ya kitaifa katika Kanisa Katoliki Chato kuwaombea hayati Magufuli, Mkapa na Nyerere.

Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.

Source: Star tv!
Kanisa na ushirikina wa mwenge, katoliki mna nini lakini?
 
Jiwe atakuwa na furaha sana huko kama ameonana na Nyerere
 
Halafu eti kuna wapungufu wa akili wanaota wakiingia ikulu ajenda yao ya kwanza ndani ya siku100 watauzima mwenge na kuuweka makubusho ya taifa!
 
Maisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..!

Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania,
Taahira.ra mkubwa wewe, utaishi milele enh? lini JPM alisema ataishi milele?
 
Jitu lishazoea kupumliwa kisogoni basi linahisi kila anayecoment ni jinsia yalenyewe tu, utampenda vipi JPM na aliwapiga vita mapunga!!??
Pole mjane, unakumbuka ulivyoagwa ,kila mtu abaki na mavi yake.

Kuna mambo nchi inapitia ukikumbuka unabaki kucheka tu.
 
Back
Top Bottom