Kipangaspecial JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 20,778 Reaction score 28,722 Sep 15, 2021 #81 sambulugu said: Wewe endelea kuabudu sanamu na wafu! Mi sikuzuii nakushauri! Click to expand... Unatumia maneno makavu makavu sana kupush hoja zako, hapo ndipo unapokwama.
sambulugu said: Wewe endelea kuabudu sanamu na wafu! Mi sikuzuii nakushauri! Click to expand... Unatumia maneno makavu makavu sana kupush hoja zako, hapo ndipo unapokwama.
S sambulugu JF-Expert Member Joined Jun 1, 2021 Posts 4,485 Reaction score 8,562 Sep 15, 2021 #82 Kipangaspecial said: Unatumia maneno makavu makavu sana kupush hoja zako, hapo ndipo unapokwama. Click to expand... Mkuu unataka niseme maneno ya kukufurahisha ili iweje! Vumilia dawa ikuingie!
Kipangaspecial said: Unatumia maneno makavu makavu sana kupush hoja zako, hapo ndipo unapokwama. Click to expand... Mkuu unataka niseme maneno ya kukufurahisha ili iweje! Vumilia dawa ikuingie!
othuman dan fodio JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 6,850 Reaction score 11,033 Sep 15, 2021 #83 kipara kipya said: Halafu eti kuna wapungufu wa akili wanaota wakiingia ikulu ajenda yao ya kwanza ndani ya siku100 watauzima mwenge na kuuweka makubusho ya taifa! Click to expand... Sa una kazi gani huo mwenge zaidi ya vurugu tu barabarani kila unapopita
kipara kipya said: Halafu eti kuna wapungufu wa akili wanaota wakiingia ikulu ajenda yao ya kwanza ndani ya siku100 watauzima mwenge na kuuweka makubusho ya taifa! Click to expand... Sa una kazi gani huo mwenge zaidi ya vurugu tu barabarani kila unapopita
Kipangaspecial JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 20,778 Reaction score 28,722 Sep 15, 2021 #84 sambulugu said: Mkuu unataka niseme maneno ya kukufurahisha ili iweje! Vumilia dawa ikuingie! Click to expand... Aliyekwambia nina ukame wa kufurahi ni nani ?
sambulugu said: Mkuu unataka niseme maneno ya kukufurahisha ili iweje! Vumilia dawa ikuingie! Click to expand... Aliyekwambia nina ukame wa kufurahi ni nani ?
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Sep 15, 2021 #85 Trillion said: Maisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..! Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania, Click to expand... Imeandikwa,kila nafsi itaonja mauti
Trillion said: Maisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..! Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania, Click to expand... Imeandikwa,kila nafsi itaonja mauti
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Sep 15, 2021 #86 mliberali said: Kanisa na ushirikina wa mwenge, katoliki mna nini lakini? Click to expand... Pole sana.
mliberali said: Kanisa na ushirikina wa mwenge, katoliki mna nini lakini? Click to expand... Pole sana.
P Plsm Senior Member Joined Aug 19, 2021 Posts 177 Reaction score 266 Sep 15, 2021 #87 Trillion said: Maisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..! Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania Click to expand... Nani ataepuka hiyo hatua? je ni wewe?
Trillion said: Maisha haya…, leo hii Magufuli na kujimwambafai kwake kote kule, na kututukana watanzania atakavyo leo hii yupo kundi la WAFU..! Hivi MaCCM mtajifunza lini kuacha kuwatendea ubaya watanzania Click to expand... Nani ataepuka hiyo hatua? je ni wewe?