Mwenye connection ya mfanyakazi wa ndani anipe tafadhali

Mwenye connection ya mfanyakazi wa ndani anipe tafadhali

Nilituma nauli mtoto katoka ngara had moshi kufika kumbe msichana ni kichaa... Yan yule kichaa og kabisa haha oyaa acheni tu
😂😂😂😂 Sipati picha ulivyochoka mwili na roho ulipomuona.
 
Nilituma nauli mtoto katoka ngara had moshi kufika kumbe msichana ni kichaa... Yan yule kichaa og kabisa haha oyaa acheni tu
Mimi nilileta mmoja toka Nyakanazi mpaka Dsm, kafika saa 4 Asubuhi kesho yake kapandisha Mashetani, yanataka arudishwe kwao.
 
Back
Top Bottom