Kifimbo Cheza
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 253
- 116
Kuna machawa wake hapa watakuvamia kama nyuki. Hili ni tapeli ambalo limefanikiwa kuwachota wajinga. Kuna siku litawaambia kuwa leta kopo la heineken na milioni moja Tsh, nitaligeuza kopo kwa miujiza liwe scania bus. na majitu yatauza viwanja kuleta milioni moja hiyo. Kwa vile ni majinga atayaambia kasubiri nyumbani mabasi yatakuja yenywe, yataondoka. Next time anatafuta uongo wa kuyaeleza na kwa vile ni mapunguani yatakubali.....maisha yanaendeleaTafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku feki wenzake hapa Tanzania.
Kenge wewe! Unatumiwa na shetwaini!Kuna machawa wake hapa watakuvamia kama nyuki. Hili ni tapeli ambalo limefanikiwa kuwachota wajinga. Kuna siku litawaambia kuwa leta kopo la heineken na milioni moja Tsh, nitaligeuza kopo kwa miujiza liwe scania bus. na majitu yatauza viwanja kuleta milioni moja hiyo. Kwa vile ni majinga atayaambia kasubiri nyumbani mabasi yatakuja yenywe, yataondoka. Next time anatafuta uongo wa kuyaeleza na kwa vile ni mapunguani yatakubali.....maisha yanaendelea
Majibu ya chawa wa tapeli mwamposa utayaona tu, kama wewe! Wewe huna brain ndani ya kichwa chako, una mifupa tu ndani kuna matope!Kenge wewe! Unatumiwa na shetwaini!
Tayari umepiga kwenye Mshono tena ukiwa gizani, maana wameanza kupiga mayowe๐๐๐Majibu ya chawa wa tapeli mwamposa utayaona tu, kama wewe! Wewe huna brain ndani ya kichwa chako, una mifupa tu ndani kuna matope!
Ww ni ajenti wa kuzimu!Majibu ya chawa wa tapeli mwamposa utayaona tu, kama wewe! Wewe huna brain ndani ya kichwa chako, una mifupa tu ndani kuna matope!
Hawa wahubiri huwa wanawapa kilevi cha aina gani mpaka mnakuja na hizi theory za agent wa kuzimu๐?Ww ni ajenti wa kuzimu!
Kwa hiyo wewe ndio una akili kuliko wa wafuasi wake wote wale,acha kupangia maisha watu banaKuna machawa wake hapa watakuvamia kama nyuki. Hili ni tapeli ambalo limefanikiwa kuwachota wajinga. Kuna siku litawaambia kuwa leta kopo la heineken na milioni moja Tsh, nitaligeuza kopo kwa miujiza liwe scania bus. na majitu yatauza viwanja kuleta milioni moja hiyo. Kwa vile ni majinga atayaambia kasubiri nyumbani mabasi yatakuja yenywe, yataondoka. Next time anatafuta uongo wa kuyaeleza na kwa vile ni mapunguani yatakubali.....maisha yanaendelea
Ukiona unamkubali mwamposa na mambo yake basi jua kabisa wewe huna mungu wa kweli ndani yako hata chembe ila umejazwa roho za kishirikina.Ww ni ajenti wa kuzimu!
Kila zama na kurasa zakeTafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku wenzake wakina Lusekelo, Malisa, Kakobe, Mwingira wengine wa type hiyo hapo Tanzania.