Peleka kopo Basi update scaniaKwa hiyo wewe ndio una akili kuliko wa wafuasi wake wote wale,acha kupangia maisha watu bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka kopo Basi update scaniaKwa hiyo wewe ndio una akili kuliko wa wafuasi wake wote wale,acha kupangia maisha watu bana
Vipaji vya ushawishi ni kweli vinatofautiana. Lakini je ni nabii wa kweli? miujiza yake ni kweli kutoka kwa Mungu?Kuna vitu tunachukulia poa ila sio poa,yaan kwann yeye?hao wenzie hawataki kuwa km yeye wapige pesa?,km ana nguvu za kichawi ina maana wengine wote hawataki kua nazo?tuache theory jamani,yale yale ya ooh diamond anatumia uchawi,yaan wasanii wote hawataki kutumia uchawi wawe km yeye,lazima tukubaliane kwamba tumepewa vipaji tofauti na hatupo sawa,na huo ndio UKWERIII
Halafu nasikia wale waumini wa Dini ya Mnyaazi Mungu, ndiyo wanaongoza kwenda kwa huyo jamaa!!Tafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku wenzake wakina Lusekelo, Malisa, Kakobe, Mwingira wengine wa type hiyo hapo Tanzania.
Hapo wote hatujui so inabid kuwa neutral sio kuconclude ana nguvu hasi mkuuVipaji vya ushawishi ni kweli vinatofautiana. Lakini je ni nabii wa kweli? miujiza yake ni kweli kutoka kwa Mungu?
Hivi wale waliopona baada ya kuombewa na Bwana Yesu Kristo wenyewe walishindwa nini kujiombea kwa Mungu.Hivi kwanini mtu asijiombee yeye mwenyewe kwa Mungu kwa jambo analohitaji msaada kwa muumba wake? kwanini uombewe na mtu mwingine shida zako? anayeombwa si huyo huyo Mungu wetu mmoja kwa sisi sote?
Au kuna watu wao ndio wakiwaombea wenzao kwa Mungu ndio wanasikilizwa? mimi naamini kua,Mungu anamsikiliza kila mwenye shida yake na hajawahi kutubagua.
Kwa imani yao Yesu ndio Mungu,Hivi wale waliopona baada ya kuombewa na Bwana Yesu Kristo wenyewe walishindwa nini kujiombea kwa Mungu.
Mwanaume hatumii neno nasikia,ni ishara ya umbea,unasikia kutoka wapi? unaleta hoja JF kwa jambo la "Kusikia" hear say? halafu wewe hua huwezi kujadili bila kuingiza imani zingine? umeisoma mada au unataka tu kudivert mjadala?Halafu nasikia wale waumini wa Dini ya Mnyaazi Mungu, ndiyo wanaongoza kwenda kwa huyo jamaa!!
Hivi haiwezekani kumtangazia fatwa kweli? Asije akawateka wafuasi wote aisee!!
Kuna machawa wake hapa watakuvamia kama nyuki. Hili ni tapeli ambalo limefanikiwa kuwachota wajinga. Kuna siku litawaambia kuwa leta kopo la heineken na milioni moja Tsh, nitaligeuza kopo kwa miujiza liwe scania bus. na majitu yatauza viwanja kuleta milioni moja hiyo. Kwa vile ni majinga atayaambia kasubiri nyumbani mabasi yatakuja yenywe, yataondoka. Next time anatafuta uongo wa kuyaeleza na kwa vile ni mapunguani yatakubali.....maisha yanaendelea
Kwa kifupi Bulldozer ameprove yeye ni zaidi ya Simba, Yanga na Taifa stars, ameujaza uwanja bila kelele wala vispika.tukubali tukatae mzee wa maji ya upako kajaza kwa mkapa [emoji3577]
Angalau wewe uko neutral kwa wote,Hapo wote hatujui so inabid kuwa neutral sio kuconclude ana nguvu hasi mkuu
Ni Mtume mkubwa sana bahati mbaya walisahau kimtaja ktk BibieTafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku wenzake wakina Lusekelo, Malisa, Kakobe, Mwingira wengine wa type hiyo hapo Tanzania.
Kuna vitu tunachukulia poa ila sio poa,yaan kwann yeye?hao wenzie hawataki kuwa km yeye wapige pesa?,km ana nguvu za kichawi ina maana wengine wote hawataki kua nazo?tuache theory jamani,yale yale ya ooh diamond anatumia uchawi,yaan wasanii wote hawataki kutumia uchawi wawe km yeye,lazima tukubaliane kwamba tumepewa vipaji tofauti na hatupo sawa,na huo ndio UKWERIII
Wanamuziki Wachawi wapo hali kadhalika wachungaji na ma sheikh. Wewe Kalia ooh vipaji tofauti na bla bla kibao utakwenda na maji. Nyakati hizi ni zile nyakati za mwisho mwisho ukikaa vibaya wanavuka nawe kwenye mafuta.Kuna vitu tunachukulia poa ila sio poa,yaan kwann yeye?hao wenzie hawataki kuwa km yeye wapige pesa?,km ana nguvu za kichawi ina maana wengine wote hawataki kua nazo?tuache theory jamani,yale yale ya ooh diamond anatumia uchawi,yaan wasanii wote hawataki kutumia uchawi wawe km yeye,lazima tukubaliane kwamba tumepewa vipaji tofauti na hatupo sawa,na huo ndio UKWERIII
Tafuta kuijua KWELI..usikashifu huduma za watu, hiyo kweli itakuweka huru..Peleka kopo Basi update scania
Jihadhari na tabia ya kustage jukwaa ili watu wakashifu huduma za watu walizopewa kusaidia watu..laana zingine ni generational, wewe haitakutokea ila wanaokufuata ..chunga sana akili na ulimi wako uiepushe familia yako na mabaya yanaweza kuwapata sababu ya tabia au maneno yako!Tafadhali jamani mwenye historia ya maisha ya Huyu mtu anayejiita mtume Mwamposa naomba atuwekee hapa, maana anazidi kuwapiku wenzake wakina Lusekelo, Malisa, Kakobe, Mwingira wengine wa type hiyo hapo Tanzania.
Comment bora ya Uzi.
Umetumia kigezo gani kuvalidate hiyo statement yako au ni story za vijiweni,nimekwambia km msanii A ni mchawi kwann B C na D wasiwe wachawi,yaani out of wasanii wote waliopo mmoja awe mchawi na wenzie wasifate nyayo,ina maana ana roho ngumu sana?watu wanapitia kwenye hali ngumu sana na hatujui hustle zao wakitoboa tunasema wachawi,daah kaz kwel kwelWanamuziki Wachawi wapo hali kadhalika wachungaji na ma sheikh. Wewe Kalia ooh vipaji tofauti na bla bla kibao utakwenda na maji. Nyakati hizi ni zile nyakati za mwisho mwisho ukikaa vibaya wanavuka nawe kwenye mafuta.