Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda TanzliiNina shida na kesi zake naomba mwenye nakala aniwekee hapa. Nimesearch kwente TANZLII sijapata
soma nilichoandikaNenda Tanzlii
out of context,Mbowe Mhuni sana.
Kwake kika anayetaka kugombea uenyekiti ni Msaliti, Mhaini.
Nime search sana sijaona! nilitaka nione reasoning katika kesi zake! nimeanza kuwa na mashaka na integrity ya brain yake!HAKUNA LABDA KWA HAKIMU MKAAZI PALE KISUTU NAPO SIDHANI KAMA ALISHAWAHI KUSHINDA KESI YOYOTE
Nami pia naomba picha ya Mbowe akiwa kimbwetani chuoNina shida na kesi zake naomba mwenye nakala aniwekee hapa. Nimesearch kwente TANZLII sijapata
Safari hii Lissu atawatahiri bila ganzi chawa wote wa Mbowe pale ufipa.Nime search sana sijaona! nilitaka nione reasoning katika kesi zake! nimeanza kuwa na mashaka na integrity ya brain yake!
Wewe una akili kuliko Maprofesa waliomtunuku shahada alizonazo huyo jamaa?Nime search sana sijaona! nilitaka nione reasoning katika kesi zake! nimeanza kuwa na mashaka na integrity ya brain yake!
kwani nimeandika nini? mbona unanijia na lugha kali? uchawa umetoka wapi? uchwa ni tusi, kama siyo tusi basi mimi ni chawa wa mama yakoWewe una akili kuliko Maprofesa waliomtunuku shahada alizonazo huyo jamaa?
.......Bila shaka wewe ni jamii ya akina Steve Nyerere huwa kazi kubwa ni uchawa tu.
hii imetoka wapi? mimi sijaongelea mambo ya chadema katuhaisaidii.
nini maana ya chama cha domokrasia maendeleo.
kiongozi mkuu wa chama kukaa kwny uongozi miaka 20? au ndy maendeleo.
Acheni uhuni wenu, kama kama hairuhusiwi kugombea cheo cha Mbowe mnaitisha uçhaguzi wa nini?Nina shida na kesi zake naomba mwenye nakala aniwekee hapa. Nimesearch kwenye TANZLII sijapata
Lissu kaleta mvurugano mkubwa huko Chadema.Nami pia naomba picha ya Mbowe akiwa kimbwetani chuo
Au CA yake semester yoyote kwa somo lolote
Au assignment yake
Hata field report
Ikishindikana basi picha akiwa na joho
Lissu aliwahi watetea wachimbaji wadogo wa madini, nyinyi wenyewe Chadema mlisema hivyo mnakumbuka.
Mbowe hata kumpigania kupatikana kwa katibu wake binafsi Ben Saanane alifanya ilimradi tu.
Demokrasia kutekeleza maamuzi ya watu wengi kwa kutumia katiba. Kama katiba inaruhusu kiongozi kukaa milele, na akatokea anayefanya hivyo, basi huyo anaishi ndani ya mfumo wa kidemokrasianini maana ya chama cha domokrasia maendeleo. Kiongozi mkuu wa chama kukaa kwny uongozi miaka 20?
Lissu kaleta mvurugano mkubwa huko Chadema.