Mwenye kesi yoyote ya High Court /Court of appeal ambayo Tundu Lissu alisimamia kama wakili tafadhali aniwekee hapa

Mwenye kesi yoyote ya High Court /Court of appeal ambayo Tundu Lissu alisimamia kama wakili tafadhali aniwekee hapa

kwani nimeandika nini? mbona unanijia na lugha kali? uchawa umetoka wapi? uchwa ni tusi, kama siyo tusi basi mimi ni chawa wa mama yako
Chawa kichwani hubakiwa na kamasi tu.

......Endelea kusuma gurudumu la Mwamba.
 
Nina shida na kesi zake naomba mwenye nakala aniwekee hapa. Nimesearch kwenye TANZLII sijapata
Umeuliza swali la msingi lakini sadly it's at the wrong time, kipindi hiki kuna misuguano kati ya chawa wa Mbowe na chawa wa Lissu hivyo basi tegemea attacks badala ya majibu ila pia kuna uwezekano ikawa umeuliza swali kinafiki ilhali majibu unayo(kuna uwezekano ukawa ni chawa wa Mbowe).
 
Back
Top Bottom