pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Yapo ila munatubania tu kuyachimba,Ya nazi mnayo mengi tu,hayo mengine mkiyapata mtavunja na muungano
Madini yenu huko kwa faida yenu ila yetu huku yawe ya wote, hatutaki,
Na siku tukipata nafasi ya kuongea na mjomba putin tutamweleza yote haya
Naona atawaukraine fata tu