Damu Ya Yesu
Member
- Mar 27, 2020
- 99
- 62
HHahahahahahh ila jamii forum Acha tu hata uwe na stress ukiingia tu unajikuta unacheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah ndugu, kasa ni madini?Kule kuna aina 2 tuu:
1). Kasa
2). Chumvi
Bwana Hafidh Huyu Huyu First G.......manInaenda kumtembeza Mzee Amir sijui Hafidh😁😁 ila JF
Madini ya Ujenzi kama mchanga, mawe ingawa ni limestone rocks😂😂😂Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Are you serious?Almasi.
Yapo mengi ila niliyowahi kusikia ni MCHANGA MWEUPE NA MAWE MEUPEMwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Ile sumu inayokaa ndani yakeHahahah ndugu, kasa ni madini?
Kama utani vile kumbe ndio ukweli wenyeweMadini yapo ni kwamba muda wa kuyaleta juu ndiyo bado.
Mfano, India, Kenya nk, hawachimbi madini ya aina Tanzanite ila ndiko yanapatikana kwa wingi sana.
So soon zanzibar itangaa kwa uchimbaji wa madini, njoo nao tu hao wawekezaji mje mchimbe Manyara, Geita, Mara nk alafu mzigo unaibukia hapo, stone town minerals market.
Hii species nayo imeanza kuangaliwa kwa ukaribu baada ya kuona ulwaji wake utaipoteza. Sizan kama ataruhusiwaIle sumu inayokaa ndani yake
Afu wanayatia tu label ya zenji 😁So soon zanzibar itangaa kwa uchimbaji wa madini, njoo nao tu hao wawekezaji mje mchimbe Manyara, Geita, Mara nk alafu mzigo unaibukia hapo, stone town minerals market.
Nenda kwenye taasisi za serikali mfano GST( Geological Society Of Tanzania) kwa Tanzania bara, wao wana ramani za kijiolojia zinazoonesha maeneo yote yaliyofanyiwa tafiti na kugundulika kuwa na madini ya aina fulani. Hivo mwekezaji yeyote anapotokea wanampa taratibu zote zinazohusika ili kuanza uchimbaji. Kwa kuanzia tu, Zanzibar inatajwa kuwa na utajiri wa mafuta kutoka baharini, hii ni kwa mujibu wa wataalamu wa jiolojia ya mafuta na gesi (Petroleum geology) kutoka TPDC (Tanzania Petroleum Development Corporation).Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Naunga hojaHembu tu tuwaachie japo kwa mkataba hawa zenji angalau wa miaka kumi tu, ili tuone kweli wataendelea kiasi hicho wanachodai?
Halafu baadae tunawachukua tena,
Si kwa mkataba?
No problem