pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Yapo ila munatubania tu kuyachimba,Ya nazi mnayo mengi tu,hayo mengine mkiyapata mtavunja na muungano
Madini aina ya NaCl.Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Pilau ya zanzibar, ukionja huachiLazma iwe sekta ya madini tu?
Mshawishi aje awekeze kwenye sekta ya viungo na utalii
Zanzibar imeishiwa mchanga kama ulikuwa haulijui hilo.Mchanga wa bahari pia ni madini yale kama mtoa UZI hufahamu ilo ...
Kule kuna aina 2 tuu:Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
MchangaMwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Mchanga.Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha
Umeona athari ya zanzibar?Labda urojo
Sasa si ndio awekeze humu humo awe anapeleka huko kwaoPilau ya zanzibar, ukionja huachi
Viungo kama vyote🤣
Wapemba watampelekea, hao jamaa wako sharp kinomaSasa si ndio awekeze humu humo awe anapeleka huko kwao
Hio ndio biashara maana ata ulaya na uarabuni napo wanaitaji viungoWapemba watampelekea, hao jamaa wako sharp kinoma
Viungo vinahitajika kila mahaliHio ndio biashara maana ata ulaya na uarabuni napo wanaitaji viungo
Ongezea na vanilla, mdarasini na irikiHakuna zaidi ya karafu...
Huko ipo zanzinite🏃Mwenye kufahamu madini yanayopatikana zanzibar tafadhali
Niko Dubai expo 2022 na tayari nimepata wawekezaji wenye nia ya kuwekeza Zanzibar kwenye sekta ya uchimbaji wa madini .
Ninawasilisha