Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Wapendwa.
Naomba kujua alipo Dr. ndodi kuna mtu ameniambia anaweza kutibu tatizo langu la kuota ndevu kwa bahati mbaya aliyenipa hizo taarifa kwa sasa hajui alipo, mwenye taarifa zake msaada pls.
Naomba kujua alipo Dr. ndodi kuna mtu ameniambia anaweza kutibu tatizo langu la kuota ndevu kwa bahati mbaya aliyenipa hizo taarifa kwa sasa hajui alipo, mwenye taarifa zake msaada pls.