Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Wakubwa heshima kwenu!
Ninaomba mwenye kujua gharama za kufanya utalii wa ndani katika mbuga zilizopo Arusha ikiwemo ada ya viingilio pamoja na gharama za kukodi gari!!
Mbuga zenyewe ni pamoja na ngorongoro, Tarangire na manyara
Ninaomba mwenye kujua gharama za kufanya utalii wa ndani katika mbuga zilizopo Arusha ikiwemo ada ya viingilio pamoja na gharama za kukodi gari!!
Mbuga zenyewe ni pamoja na ngorongoro, Tarangire na manyara