Mwenye kujua asili ya utawala wa Saudi Arabia anijuze

Mwenye kujua asili ya utawala wa Saudi Arabia anijuze

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
3,695
Reaction score
5,531
Habar zenu wakuu,
Naombeni msaada nataka kujua historia ya utawala wa kifalme wa saudarabia ulianzia wapi ,siri zao ,mafanikio yao ,yaan kwa ufupi kila kitu kinachohusu utawala huu nataka kujua namna ulivyokaa madarakani toka mwanzo mpaka sasa


MsaadaTafadhali.....
 
Ufalme wa Uarabuni wa Saudia (ﺍﻟﻤﻤﻠﻜﺔ ﺍﻟﻌﺮﺑﻴﺔ ﺍﻟﺴﻌﻮﺩﻳﺔ , al-mamlaka al-'arabiyya as-sa'audiyya ) ni nchi kubwa kati ya nchi za Bara Arabu.
Imepakana na Yordani , Iraq , Kuwait ,
Qatar, Bahrain, Falme za Kiarabu,
Oman na Yemen .
Kuna pwani ya Ghuba la Uajemi upande wa kaskazini -mashariki na
Bahari ya Shamu upande wa
magharibi .
Historia
Jina la nchi limetoka kwa familia ya watawala, yaani familia ya aliyeianzisha, ChifuIbn Saud wa Riyad . Yeye, baada ya kuondoka kwa jeshi la
WaturukiWaosmani waliotawala Arabia kwa karne kadha, alishinda vita baina ya makabila ya Uarabuni ya kati akaweza kuvamia na kutawala maeneo ya Najd na Hejaz na mwaka 1932 alitangaza Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
Watu
Ukiacha wahamiaji, wenyeji ni
Waarabu (90%) na machotara Waarabu-Waafrika (10%)
Lugha rasmi na ya kawaida ni Kiarabu, lakini wahamiaji wanatumia pia lugha zao.
Mara nyingi Saudia inaitwa "al-haramain", yaani nchi ya mahali
patakatifu pawili, kwa kumaanisha miji ya Makka na Madina ambayo ni miji mitakatifu zaidi katika Uislamu.
Ukweli huu unatumika kuzuia waumini wa dini nyingine zote, ambao ni
wahamiaji (21% za wakazi wote), wasiweze kujenga maabadi wala kufanya ibada za pamoja, hata kama ni ndani ya nyumba zao.
 
Ufalme wa Uarabuni wa Saudia (ﺍﻟﻤﻤﻠﻜﺔ ﺍﻟﻌﺮﺑﻴﺔ ﺍﻟﺴﻌﻮﺩﻳﺔ , al-mamlaka al-'arabiyya as-sa'audiyya ) ni nchi kubwa kati ya nchi za Bara Arabu.
Imepakana na Yordani , Iraq , Kuwait ,
Qatar, Bahrain, Falme za Kiarabu,
Oman na Yemen .
Kuna pwani ya Ghuba la Uajemi upande wa kaskazini -mashariki na
Bahari ya Shamu upande wa
magharibi .
Historia
Jina la nchi limetoka kwa familia ya watawala, yaani familia ya aliyeianzisha, ChifuIbn Saud wa Riyad . Yeye, baada ya kuondoka kwa jeshi la
WaturukiWaosmani waliotawala Arabia kwa karne kadha, alishinda vita baina ya makabila ya Uarabuni ya kati akaweza kuvamia na kutawala maeneo ya Najd na Hejaz na mwaka 1932 alitangaza Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
Watu
Ukiacha wahamiaji, wenyeji ni
Waarabu (90%) na machotara Waarabu-Waafrika (10%)
Lugha rasmi na ya kawaida ni Kiarabu, lakini wahamiaji wanatumia pia lugha zao.
Mara nyingi Saudia inaitwa "al-haramain", yaani nchi ya mahali
patakatifu pawili, kwa kumaanisha miji ya Makka na Madina ambayo ni miji mitakatifu zaidi katika Uislamu.
Ukweli huu unatumika kuzuia waumini wa dini nyingine zote, ambao ni
wahamiaji (21% za wakazi wote), wasiweze kujenga maabadi wala kufanya ibada za pamoja, hata kama ni ndani ya nyumba zao.
naaam shushua nondo mkuu nakupata twendeeleee tu we lete uhondo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
= Falme ya Kiarabu Ya Saud
= Bahari ya Sham na Ghuba ya Uajemi ni moja.

Nadhani kwa usahihi zaidi ungeandika Bahari ya Sham Mashariki na Bahari Nyekundu Magharibi.
Haikuhusu

= Falme ya Kiarabu Ya Saud
= Bahari ya Sham na Ghuba ya Uajemi ni moja.

Nadhani kwa usahihi zaidi ungeandika Bahari ya Sham Mashariki na Bahari Nyekundu Magharibi.
 
Habar zenu wakuu,
Naombeni msaada nataka kujua historia ya utawala wa kifalme wa saudarabia ulianzia wapi ,siri zao ,mafanikio yao ,yaan kwa ufupi kila kitu kinachohusu utawala huu nataka kujua namna ulivyokaa madarakani toka mwanzo mpaka sasa


MsaadaTafadhali.....
Ninachojua ni kwamba yule aliyesingiziwa kuwa hajui kusoma wala kuandika yaani Mu'amad Ibn Abdullah maarufu kama Mtume Muhammad (S.A.W) ndiye aliyeandika katiba ya Mecca.

Mecca ni eneo muhimu zaidi ndani ya nchi ya Saudi Arabia.

Wakati huo alikuwa amejaaliwa kuwa na mke mmoja tu wa kwanza Bi Khadija.
 
Ninachojua ni kwamba yule aliyesingiziwa kuwa hajui kusoma wala kuandika yaani Mu'amad Ibn Abdullah maarufu kama Mtume Muhammad (S.A.W) ndiye aliyeandika katiba ya Mecca.

Mecca ni eneo muhimu zaidi ndani ya nchi ya Saudi Arabia.

Wakati huo alikuwa amejaaliwa kuwa na mke mmoja tu wa kwanza Bi Khadija.


Si kweli.

Muhammad Sala Allahu Alayhi Wasalaam hajaandika katiba yoyote.

Hayo ya katiba labda ni mambo yenu ya kanisani.
 
Si kweli.

Muhammad Sala Allahu Alayhi Wasalaam hajaandika katiba yoyote.

Hayo ya katiba labda ni mambo yenu ya kanisani.
Bibie..ustaadhat wa kariakoo

Wataka ushahidi kuwa Mtume Muhammad ndiye aliyeandika katika ya makka?

Karibu na unijibu.
 
Bibie..ustaadhat wa kariakoo

Wataka ushahidi kuwa Mtume Muhammad ndiye aliyeandika katika ya makka?

Karibu na unijibu.
maka hakuna katika ,na hiyo maka ambapo iko al qaaba ilikuwepo toka enzi za nabii ibrahimu na ndio alonyanyua kuta za al qaaba
 
Nimekosea, Prophet Muhammad wrote Medina Constitution not Mecca constitution

Evidences are everywhere...u can search for yourself hata ukigoogle

Kama ambavyo wewe bibi huwa unawaambia members hapa wajisomee...nawewe jisomee kuhusu katika ya medina aliyoiandika Muhammad

Muhammad ndiye binadamu wa kwanza kuanzisha Pure Islamic secular state.
maka hakuna katika ,na hiyo maka ambapo iko al qaaba ilikuwepo toka enzi za nabii ibrahimu na ndio alonyanyua kuta za al qaaba
 
Nimekosea, Prophet Muhammad wrote Medina Constitution not Mecca constitution

Evidences are everywhere...u can search for yourself hata ukigoogle

Kama ambavyo wewe bibi huwa unawaambia members hapa wajisomee...nawewe jisomee kuhusu katika ya medina aliyoiandika Muhammad

Muhammad ndiye binadamu wa kwanza kuanzisha Pure Islamic secular state.

Hahahahaha. Ni heri umekiri kuwa umekosea.

Hiyo ya Madinah labda tukupe darsa ufaidike.

Hakuna katiba katika Uislam zaidi ya Qur'an. Qur'an ime cover kila kitu kwa walimwengu wote.
 
Hahahahaha. Ni heri umekiri kuwa umekosea.

Hiyo ya Madinah labda tukupe darsa ufaidike.

Hakuna katiba katika Uislam zaidi ya Qur'an. Qur'an ime cover kila kitu kwa walimwengu wote.
Sawa, nipe hilo darasa kuhusu aliyeandaa katiba ya Makka

Sasa usianze kuniletea habari ambazo hazihusiani na nilichokuomba. Sawa?

Karibu.
 
Nimekosea, Prophet Muhammad wrote Medina Constitution not Mecca constitution

Evidences are everywhere...u can search for yourself hata ukigoogle

Kama ambavyo wewe bibi huwa unawaambia members hapa wajisomee...nawewe jisomee kuhusu katika ya medina aliyoiandika Muhammad

Muhammad ndiye binadamu wa kwanza kuanzisha Pure Islamic secular state.


Mji wa Madina uko ukanda wa Magharibi ya pwani ya ghuba ya Arabuni ndani ya Mkoa uitwao Hijaz, takribani maili 90 mashariki mwa fukwe za Bahari Nyekundu, na maili 290 kaskazini mwa Maka. Madina, mji alioishi Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, ina nafasi adhimu ndani ya moyo wa kila Muislamu
Al-Madina al-Munawwarah, al-Barrah, al-Jabirah na Taiba ni majina machache tu miongoni mwa majina 100 au zaidi ambayo Waislamu wameupa mji huu unaopendwa ambao unasimama kama mji wa pili mtukufu na muhimu katika Uislamu baada ya Maka. Historia yake ni tajiri mno, na nafasi yake ni kubwa mno katika Uislamu kiasi kwamba hakuna mji mwingine ulioweza kukaribiana nao.
Madina ndiko uliko Msikiti wa Mtume, swallallahu alayhi wa sallam. Pia ndiko uliko Msikiti wa kwanza kabisa kujengwa katika Uislamu, Masjid Quba, ambao Mtume binafsi, alisaidia kuusanifu na kuujenga. Madina ndio mji wa Ansar (wasaidizi au masapota), ambao walitoa kila kilichokuwa chao kumsaidia Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Madini ndio mji Mkuu wa serikali ya kwanza ya Kiislamu iliyoongozwa na Makhalifa, ndio mji uliohifadhi Uislamu, na kuusambaza ujumbe wake ulimwenguni kote, na hadi leo unafanya hivyo.
Ama kwa hakika imani ya Kiislamu inarudi tena kutafuta hifadhi Madina kama nyoka anavyorudi shimoni mwake kujihifadhi.” (Bukhari na Muslim).
Madina ndio mji ilimofanyika Hijra, na ndio mji unaojitokeza kifua mbele katika zama na kumbukumbu za Uislamu. Ndio mji ambao tende zake zinatibu maradhi, na ndio mji ambao watu wake wana nyoyo laini kwelikweli na wana khulka njema kabisa. Hizi ni baadhi ya sababu ambazo kwazo Waislamu wanaipenda Madina, wale ambao hawajafika Madina, wanaiotea ndoto ya kuizuru siku moja inshaAllah.
Lengo kuu la ziara hiyo, bila shaka, litakuwa ni kuuzuru Msikiti wa Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, kwani Mtume amesema, “msifanye safari katika msikiti wowote (kwa nia ya kupata fadhila au jazaa maalum ya Swala) isipokuwa Misikiti mitatu, nayo ni al-Masjid al-Haram, al-Masjid al-Aqsa, na katika msikiti wangu.” (Bukhari).
Lakini punde tunapokuwa Madina, tuzidishe fadhila zetu kwa kutembelea maeneo mengine maalum ya Kiislamu, kupata maarifa ya dini yetu, na kuimarisha imani zetu juu ya Mwenyezi Mungu.
Na japokuwa Waislamu wengi watazuru Madina kama sehemu ya Hija yao lakini ziara hiyo si sehemu ya hukumu za Hija wala Umra. Ni wema na heshima tu maalum ambayo inahusishwa na Mji huu wenye Nuru ya kipekee inayowavutia na kuwatia Waislamu hamasa ya kutenga muda na kuja kwa vipando kutoka pembe zote za dunia kupata fadhila zote wanazoweza kuzipata.





Nimekosea, Prophet Muhammad wrote Medina Constitution not Mecca constitution

Evidences are everywhere...u can search for yourself hata ukigoogle

Kama ambavyo wewe bibi huwa unawaambia members hapa wajisomee...nawewe jisomee kuhusu katika ya medina aliyoiandika Muhammad

Muhammad ndiye binadamu wa kwanza kuanzisha Pure Islamic secular state.
 
Sawa, nipe hilo darasa kuhusu aliyeandaa katiba ya Makka

Sasa usianze kuniletea habari ambazo hazihusiani na nilichokuomba. Sawa?

Karibu.

Hakuna katiba ya Makkah.

Kwanza umeanza kuzuwa huko juu, ukatamba utaleta ushahidi, ukakosa na kukiri na kujidai ni Madinah, nikakujuza hakuna kitu Kama hicho na sasa nnakueleza kuwa hakuna katiba ya Makkah.

Hebu soma mlolongo maana unaonesha u msahaulifu sana au mwenzetu ni wa Dodoma?
 
Hakuna katiba ya Makkah.

Kwanza umeanza kuzuwa huko juu, ukatamba utaleta ushahidi, ukakosa na kukiri na kujidai ni Madinah, nikakujuza hakuna kitu Kama hicho na sasa nnakueleza kuwa hakuna katiba ya Makkah.

Hebu soma mlolongo maana unaonesha u msahaulifu sana au mwenzetu ni wa Dodoma?
Wewe bibi nimekuambia hivii... KATIBA YA MEDINA ILIANDIKWA NA MUHAMMAD

Ukitaka kuamini nenda ukagoogle kupata information zaidi

Wewe ni mara nyingi tu unatuambia tukasome kwanini wewe usisome?

Ngoja nikuletee source kwasababu ubishi upo kwenye damu yako.
 
Wewe bibi nimekuambia hivii... KATIBA YA MEDINA ILIANDIKWA NA MUHAMMAD

Ukitaka kuamini nenda ukagoogle kupata information zaidi

Wewe ni mara nyingi tu unatuambia tukasome kwanini wewe usisome?

Ngoja nikuletee source kwasababu ubishi upo kwenye damu yako.
Madina sio Nchi, hiyo katiba ya Madina inatokea wapi?

Madina, Makkah, Riyadh na miji mingineyo iko Nchini Saud Arabiah.. Serikali inayotawala Nchi hiyo inaitwa Almamlakat Al-arabiyyat As-su'udiyyah
 
Wewe bibi nimekuambia hivii... KATIBA YA MEDINA ILIANDIKWA NA MUHAMMAD

Ukitaka kuamini nenda ukagoogle kupata information zaidi

Wewe ni mara nyingi tu unatuambia tukasome kwanini wewe usisome?

Ngoja nikuletee source kwasababu ubishi upo kwenye damu yako.
Ulianza na mtume Muhammad Sala Allahu Alayhi Wasalaam kuwa kaandika katiba ya Makkah, nikakwambia si kweli.

Ukaja kwa vishindo kuwa unao ushahidi nikakujibu uulete, nikakwambia, naam. Ukarudi ukakiri umekosea.

Ukabadili na kusema ni Madinah. Nilikwambia hakuna kitu kama hicho.

Sasa unataka nikatafute nini na hicho kitu hakuna?

Wewe unaekazania kipo, si ukilete?

Nika Google hewa?
 
Back
Top Bottom