Mwenye kujua asili ya utawala wa Saudi Arabia anijuze

Mwenye kujua asili ya utawala wa Saudi Arabia anijuze

Madina sio Nchi, hiyo katiba ya Madina inatokea wapi?

Madina, Makkah, Riyadh na miji mingineyo iko Nchini Saud Arabiah.. Serikali inayotawala Nchi hiyo inaitwa Almamlakat Al-arabiyyat As-su'udiyyah
Ni wapi nimesema Madina ni nchi? Unaweza kunionesha?

Nimemwambia bibi akasome aache uvivu ili apate huo ukweli niliomwambia...sasa sio vibaya nawewe ukifanya hivyo.
 
= Falme ya Kiarabu Ya Saud
= Bahari ya Sham na Ghuba ya Uajemi ni moja.

Nadhani kwa usahihi zaidi ungeandika Bahari ya Sham Mashariki na Bahari Nyekundu Magharibi.
Naomba nikurekebishe hapa.. Ghuba ya Uajemi au Persian gulf ni tofauti kabisa na bahari ya Sham au Red Sea.

Kaangalie vizuri tena vitabu vyako vya Jiografia.
 
Ni wapi nimesema Madina ni nchi? Unaweza kunionesha?

Nimemwambia bibi akasome aache uvivu ili apate huo ukweli niliomwambia...sasa sio vibaya nawewe ukifanya hivyo.

Wacha kujifanya huelewi unachoelezwa.

Kwanza umekuja na uzushi kuwa Mtume Muhammad "kasingiziwa" tumekupuuza hilo tukakujibu hakuna hiyo katiba uisemayo.

Kama unayo ya Madinah ya Makkah ilete.

Kama hauna kawaulize vizuri waliokudanganya wakupe uilete.
 
Wewe shukuru umejifunza kitu kipya ulikuwa hujui kuwa bahari ya ghuba ya Uajemi na bahari ya Sham ni hiyo hiyo moja pia huitwa Arabian Sea.

Hauwezi kuelezea ndivyo sivyo kwenye uzi wa wazi na nnapokufahamisha unasema "haikuhusu".

Tumianeni PM kama haituhusu.

Punguani wahed.
Punguan babaako
 
Mpalestina mchizi, Umeleta vitu vimeongeza maarifa ya wengi hapa, iweje tena uanze kujipunguzia credit kwa matusi?
 
Nnaam, naona mjadala mzur japo kuna jazba nying punguzen jazba mtujuze tuciojua tumawafatilia kwa makin sana
 
Ninachojua ni kwamba yule aliyesingiziwa kuwa hajui kusoma wala kuandika yaani Mu'amad Ibn Abdullah maarufu kama Mtume Muhammad (S.A.W) ndiye aliyeandika katiba ya Mecca.

Mecca ni eneo muhimu zaidi ndani ya nchi ya Saudi Arabia.

Wakati huo alikuwa amejaaliwa kuwa na mke mmoja tu wa kwanza Bi Khadija.
khadija si huyu hapa mtalaka yupo jf anajiita Faiza Foxy
 
Hahahahaha. Ni heri umekiri kuwa umekosea.

Hiyo ya Madinah labda tukupe darsa ufaidike.

Hakuna katiba katika Uislam zaidi ya Qur'an. Qur'an ime cover kila kitu kwa walimwengu wote.
Ahsante sana kwakumatia ilim ya bure.
 
Si kweli.

Muhammad Sala Allahu Alayhi Wasalaam hajaandika katiba yoyote.

Hayo ya katiba labda ni mambo yenu ya kanisani.

Lakini waanzilishi Wa dini ya kiislamu ni warumi kama ulikuwa hujui Mohd SAW alitumika kama kiunganishi
 
Hahahahaha. Ni heri umekiri kuwa umekosea.

Hiyo ya Madinah labda tukupe darsa ufaidike.

Hakuna katiba katika Uislam zaidi ya Qur'an. Qur'an ime cover kila kitu kwa walimwengu wote.

Imecover kwa waislamu tuu na sio kwa wote


Mimi siamini katika iyo dini yako

Mimi naamini Yesu kristo mwana Wa Mungu aliyetukomboa katika dhambi na kiunganishi pekee kati yetu na Mwenyezi Mungu
 
Jaman sikuleta,huu uzi watu watu wabishane ,au kutukanana ,hasa katika Dini ,maana sikuuliza swali la dini ,bali niliuliza swali la utawala wa saud ,asili yao ,japo historia yake naijua ,ila nilitaka niongezewe ,na matarajio yangu ningepata mengi mapya eidha ambayo sijajui,

kinyume chake mmetoka kwenye mada na kwenda mbali zaidi,

kama huijui dini ya mtu bora ukauliza ili watu wakuelekeze wapi utakwenda kusoma vitabu vya tarekh kujua Historia halisi ya uislam ,ulianzia wapi ,na kina nani walifanikiwa kusimamisha dola la kiislam..

Vipo vitabu vya Tarekh(historia)ambavyo ni marejeo ya uislam ,ambapo vinaeleza historia nzima ya dola ya kiislam ,


Naomba turudi kwenye mada nimeuliza Asili ya utawala wa suudia ,ambapo mpalestina Mchizi alianza vizuri,

Nachotaka kujua kipi kimefanya huu utawala wa wasuud kuendelea kuwepo madarakani mpaka sasa maana tawala nyingi za kifalme zimeangushwa ,lakini tawala hii imeendelea kuimarika,

Nilishawahi kuskia ,kwamba mwasisi wa utawala huu alingia makubaliano na wamarekani kuwa wataulinda huu utawa mpaka mwisho,
je yalikuwa makubalino gani?

Ndo vitu navyotaka kujua ,
 
duh sasa mbona saudi arabia haitaki kusaidia waislamu wenzake watu wa siria kuwapa makazi ya muda , kweli na historia yote hiyo inashindwa kutoa msaada mpaka inafikia waislamu wanaenda kupewa hifadhi na nchi za wagalatia kama ujerumani duh kweli sometime dini izi noma sana , muislam yupo lazi apigane kwa mtu kuchona kitabu chao ila kumsaidia muislamu mwenzake ni ngum
 
Lakini waanzilishi Wa dini ya kiislamu ni warumi kama ulikuwa hujui Mohd SAW alitumika kama kiunganishi


Wewe una dini yako nami nna yangu. Wewe abudu upendavyo, mimi sitakiabudu unachokiabudu wewe.

Kinakuuma nini?
 
Imecover kwa waislamu tuu na sio kwa wote


Mimi siamini katika iyo dini yako

Mimi naamini Yesu kristo mwana Wa Mungu aliyetukomboa katika dhambi na kiunganishi pekee kati yetu na Mwenyezi Mungu


Yesu anasema hakutumwa isipokuwa kwa wana wa Israeli, wewe mwanza wa Israeli?
 
Back
Top Bottom