Mwenye kujua asili ya utawala wa Saudi Arabia anijuze

Mikitaka ajira huku Saudi Arabia njooni mujiandikishe mapema kama wenzenu wa Kenya na wa West Afrika wapo kibao!!!

mengine mtajifunzia hukuuku
 
ule utawala wa pale haupo kwa ajili ya maslahi ya waislam na waislam ,japo uwepo wao pale umejifunika kwa joho ya kiislam
 
ule utawala wa pale haupo kwa ajili ya maslahi ya waislam na waislam ,japo uwepo wao pale umejifunika kwa joho ya kiislam
Zama za mwisho kabisa hizi,ndugu zanguni tunaelekea kwenye mass extinction dalili zote zinaonyesha.
 
Kumbe we ni muoga na mnafiki,umeulizwa swali ujibiwe huku ukijua wazi kuwa na wewe wajua pengine zaidi ya watakao kujibu ili update sababu ya kuyaongea hitoria yako,kumbe ungeweza kusimulia uyajuayo kwa manufaa ya wengi wanaopenda kujua historia uijuayo.
 
inawezekana nikawa mnafki kwako na muoga kwenye macho yako ,ila nisiwe muoga wala mnafki wa nafsi yangu...
Naww ambaye unajionyesha si muoga au mnafki ,na ukawa ninafki wa na muoga wa nafsi yako mwenyewe...



Swali nililouliza ni utawala na si miji ya maka au madina ,

Nilitaka kujua zaidi asili ya utawala huu ,na kwanini tawala huu umeendelea kuwepo madarakani mpaka sasa ,kuliko tawala zingine zote na huwa hauguswi kuna sili gani nyuma yake,

Ndicho nilichotaka kujua ,


Nikusaidie kitu ,usipende kutosheka na unachojua ,heri ujifanye mjinga ili upate kujua zaidi kutoka kwa wengine ,

maana sio yote utayajua ,.

Ili uwelewe Historia ya mahali flani au watu lazima ukubali kujifunza kwa watu mbali mbali
 
Hayo yote unayajua shekhe basi tu umeamua tu haya bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…