GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rejea kichwa Habari hapo juu
Naomba kujuzwa iwapo Mashindano hayo yataoneshwa live na channel hiyo
Ngoma IPO live mkuu sasa hiviNilimsikia Mtangazaji Bernard James asubuhi ya leo akiwa anatusomea Vichwa vya Habari vya Magazeti na akasema kwamba Michuano hiyo itaonyeshwa na Channels za Startv na Starsports. Hivyo nami pia nasubiria hiyo Saa 10 ifike ili nione Sahara Media ni Waongo au Wakweli!
Ngoma IPO live mkuu sasa hivi
Dk ya 75 yanga ameshakalishwa mbili mojaKwani mechi zinaanza Saa 8? Haya nani kafungwa hadi sasa?
Dk ya 75 yanga ameshakalishwa mbili moja
Nenda KBC mkuuStartv mbona matangazo yenu yana katakata sana? Tatizo ni nini? Na kwani hamkujiandaa mapema kwa changamoto?
Usikasirike mkuu nenda kbcNafuatilia matangazo ya moja kwa moja ya mechi ya mpira wa miguu kati ya Yanga na Kakamega Home Boyz ya Kenya kupitia channel yetu hii ya hapo Mwanza (Star Tv)
Kiukweli Tv hii bado sana, yani bado mno kiteknolojia maana hata kama wanapokea matangazo kutoka kituo kingine lkn ni dhahiri kabisa tatizo hili la kukatikakatika na kukwama kwa picha si la kituo wanachopokea ila ni lao. Ubora wa picha na utulivu ni mbovu mno kiasi kwamba hakuna maana yoyote kwa kituo hiki kurusha live mtanange huu wa SportsPesa.
Bongo ni Azam tu wengine miyeyusho, nimezima Tv.
Basi kuwa mvumilivu tuSiendi nabaki Startv Mkuu.
Hamia kbcStartv mbona matangazo yenu yana katakata sana? Tatizo ni nini? Na kwani hamkujiandaa mapema kwa changamoto?
Hiyo chanel siioni hapa STARTIMES.Itabidi nitafute mpango maana kwa mwenendo huu wa Star TV chama langu kesho sitalifurahiaHamia kbc
Mie naangalia kupitia dstv mkuu.Hiyo chanel siioni hapa STARTIMES.Itabidi nitafute mpango maana kwa mwenendo huu wa Star TV chama langu kesho sitalifurahia