GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rejea kichwa Habari hapo juu
Naomba kujuzwa iwapo Mashindano hayo yataoneshwa live na channel hiyo
Nilimsikia Mtangazaji Bernard James asubuhi ya leo akiwa anatusomea Vichwa vya Habari vya Magazeti na akasema kwamba Michuano hiyo itaonyeshwa na Channels za Startv na Starsports. Hivyo nami pia nasubiria hiyo Saa 10 ifike ili nione Sahara Media ni Waongo au Wakweli!