jibu
Je, unapata kiungulia? harufu na uchungu mdomoni? Unahisi kutapika? gesi tumboni na kukosa hamu yakula? Kama utajibu ndio moja kati ya maswali haya una hernia ya juu (gastric hernia).
Muone daktari na acha kula mchele mpka upate matibabu, wahi hospital ukichelewa surgery itakuhusu. Kama utahitajika kufanya surgery rudi jamvini kwanza