tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
DuhTafuta mwanamke wa kirombo oa
nimekuelewa mkuu, hii nliwai cheza ila tatizo nlicheza la dau kubwa, mwishowe nlijitoa,,Kama umeajiriwa tafuta walioajiriwa wenzako angalau muwe watatu muanze kucheza mchezo
Piga hesabu ya pesa ya kula tu ndo ubaki nayo iliyobaki iwe ndo kiwango cha mchezo.
Mfano unalipwa 10,000 kwa mwezi unakula 3000 kwa, baki na 3000 ya kula kwa mwezi....alafu buku 7 nzima ndo iwe kiwango cha mchezo wenu.
Hii itakusaidia kumake pesa unafanya jambo kubwa ukizipata.
mzee baba, ndo wakoje hao wa kiromboTafuta mwanamke wa kirombo oa
nlianza kipindi flani, nlipopatwa na shuda nkakivunjaTafuta kibubu cha mbao weka pesa
okey, nimekuelewa mzee babaPunguza bili hotelini ikibidi acha, epuka marafiki wanaopoenda starehe!
[emoji16] [emoji16] [emoji16]We unataka afungwe, hawezi kutunzapesa, unamshauri akakope benk, hohoooo,ohoooo, watampiga mnada!
hii biashara nlishafungua mradi wa kwanza ukayumba, nikabadili napo nkayumba, nikaona oooh, nikafunga kabisa,,ukipata pesa tenga zaka na sadaka peleka kanisani/msikitini, baada ya hapo anza kupanga matumizi, tenga asilimia ya akiba mf. 5% ya mshahara wako, fungua miradi ukiwa na chanzo kimoja cha miradi hutokuja utunze fedha, namna bora ya kutunza fedha ni kufungua miradi, wasaidie wazazi, hii itakuletea baraka na mafanikio katika kazi/biashara zako
hahahaHahahahaha mkuu, wanachukua moja kwa moja kutoka kwenye mshahara wake! kabla hata ajatoa zake za matumizi!
aisee kumbe tuko wengi,Nina tatizo kama lako. Nakereka mnooo
hii ya m power nlijaribu lakini nlivokopa, sikurejesha tena,Fungua fixed account uwe unaweka huko au tumia m power uwe unazihifadhi huko pia
tatizo wanakata sanaPeleka bank wakuwekee
we chalii[emoji16] stuka babaNilipata zero somo la ku save.. Najua kuna siku nitatia akili. Hapo ndio nitaanza ku save, saivi acha nile maisha kwanza..
Duh! Bas wahi kwa Gwajima ukaombewe mkuu [emoji23]hii ya m power nlijaribu lakini nlivokopa, sikurejesha tena,
Kuna siku nitashtuliwa na ulimwengu. Naisubiri [emoji23]we chalii[emoji16] stuka baba
mmmh kuombewa na sadaka juu[emoji16]Duh! Bas wahi kwa Gwajima ukaombewe mkuu [emoji23]
acha kutumia pesatafadhali wajuzi mnijuze.[emoji16]