Mwenye kujua mbinu za kusevu pesa aniambukize jamani,

Hahaha...una Miaka mingapi kazini?
 
hobby ya kwanza napenda soccer

hobby ya pili napenda kusikiliza music

hobby ya tatu kwa sasa ni kubet [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
hapa nachaniwa mikeka kishenz [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hiyo ya kubeti asee...hahaha..Jaribu kuiacha, mi mwenyewe ni muhanga wa kubeti....asee, Tangu nianze kubeti ndo mwanzo wa kuishiwa hela, Zamani nilikuwa na ziada ya hela...ila siku hizi hela mifukoni sizioni, kidogo tu kubeti.

Nimejiamulia kuacha kubeti, Nikishindwa sana nitapunguza.

Ila Kubeti Big NO.
 

Huu uzi ulenivutia kwasababu nimejaribu kutunza fedha kwa ajili ya projects na mara nyingi bila ya sababu ya msingi Nimekua nikizitumia au kumsaidia mtu na kuanza upya.

Hiyo mbinu namba 1 ndiyo imekua mkombozi kwenye projects zangu nyingi japo ni muhimu sana kuiangalia Riba ya mkopo....
 
Tengeneza buget...cut unnecessary spending. Nununua vitu vya jumla mwazoni mwa mwezi....alafu hela ya matumizi madogo madogo kama nauli weka home. Kila siku unaandika matumizi yako hata kama ni sh. 100. Living within a budget inanisaidia sana kusave
Kweli kabisa.... Pia achana na simu banking nikimaanisha usiwe access ya haraka ya kutoa pesa.Mimi ATM kadi yangu ili expire, sija renew ,pesa ikiingia huko mpaka niitoe nipange mstari so uwa naiachaga tu nategemea mishe zingine
 
Tafuta kitabu changu nilicho andika mwaka jana kinachosema "HOFU YA NINI: Matumizi bora ya kipato kwa maendeleo ya jamii au binafsi. kitakusaidia kuwa na mpangilio mzuri wa mapato yako. vipo Bookshop nyingi labda viwe vimeisha natumai utavipata
ntakitafuta
 
mzee baba hii kuacha ngumu, nliwai pga milion 1, [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…