1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
- #41
punguza bataKuna siku nitashtuliwa na ulimwengu. Naisubiri [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza bataKuna siku nitashtuliwa na ulimwengu. Naisubiri [emoji23]
Unaweza ukadhani umerogwaaisee kumbe tuko wengi,
yaaan we acha tu,Unaweza ukadhani umerogwa
Si ndio, unampa anakutunzia [emoji23]mmmh kuombewa na sadaka juu[emoji16]
Jenga kibubu cha chuma funga na kufuli tupa funguotatizo wanakata sana
Bora nile bata mda huu sina majukumu mengi zaidi ya kujilisha kujivika na kujilaza..punguza bata
ohh, hii nliwai kuifikilia lakini sikuijaribu, ngoja nijaribu nione,,Tengeneza buget...cut unnecessary spending. Nununua vitu vya jumla mwazoni mwa mwezi....alafu hela ya matumizi madogo madogo kama nauli weka home. Kila siku unaandika matumizi yako hata kama ni sh. 100. Living within a budget inanisaidia sana kusave
we beingsingle mmmhSi ndio, unampa anakutunzia [emoji23]
hahaha kufuli ntaivunja nkichacha[emoji16]Jenga kibubu cha chuma funga na kufuli tupa funguo
Inasaidia sana...ohh, hii nliwai kuifikilia lakini sikuijaribu, ngoja nijaribu nione,,
kwa hiyo umeshaanza kusave?
mmmmmh, we nomaBora nile bata mda huu sina majukumu mengi zaidi ya kujilisha kujivika na kujilaza..
Nikiwa na majukumu zaidi ya haya nita save.. Saizi nakula bata kwanza baadae huko Mungu akijalia uhai kitaeleweka tu.
Saivi nahitaji uhakika wa kunywa walau beer tatu kwa siku na kula vizuri kila siku. Hayo mengine kwangu bado naona itakuwa too much
kwa hiyo kwa mfano nianze huu mwez wa 6, alafu wa saba ndo naanza kusave?Inasaidia sana...
Yes huwa nasave
Basi hakuna njia nyingine , maana bila wewe nwenyewe kuamua hata umpe mtu akuwekee bado utamsumbua akupe pesa zako , funga tumbo , usitamani tamani vitu njiani nkhahaha kufuli ntaivunja nkichacha[emoji16]
Komaa tu kiongozi, tafuta kitu kimoja ambacho ni hobby yako kigeuze kuwa fursa/biashara ukomae nacho!hii biashara nlishafungua mradi wa kwanza ukayumba, nikabadili napo nkayumba, nikaona oooh, nikafunga kabisa,,
hobby ya kwanza napenda soccerKomaa tu kiongozi, tafuta kitu kimoja ambacho ni hobby yako kigeuze kuwa fursa/biashara ukomae nacho!
Huo ni unyonyajiukipata pesa tenga zaka na sadaka peleka kanisani/msikitini, baada ya hapo anza kupanga matumizi, tenga asilimia ya akiba mf. 5% ya mshahara wako, fungua miradi ukiwa na chanzo kimoja cha miradi hutokuja utunze fedha, namna bora ya kutunza fedha ni kufungua miradi, wasaidie wazazi, hii itakuletea baraka na mafanikio katika kazi/biashara zako
[emoji16] [emoji2]Huo ni unyonyaji
Pole sana mkuu, ngoja nitarudi!hobby ya kwanza napenda soccer
hobby ya pili napenda kusikiliza music
hobby ya tatu kwa sasa ni kubet [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
hapa nachaniwa mikeka kishenz [emoji16] [emoji16] [emoji16]