1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
- #101
poa mkuuHuu uzi ulenivutia kwasababu nimejaribu kutunza fedha kwa ajili ya projects na mara nyingi bila ya sababu ya msingi Nimekua nikizitumia au kumsaidia mtu na kuanza upya.
Hiyo mbinu namba 1 ndiyo imekua mkombozi kwenye projects zangu nyingi japo ni muhimu sana kuiangalia Riba ya mkopo....