jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wewe kama mkubwa wake yakupasa kukaa nae chini kumshauri...natumaini hatakushinda... Mwambie MDs ni wengi kipindi hiki aombe Hizo nyingize za radiography...Izo hazikubali ila MD tu
Kwani kozi ipi hiyo ukisoma utafanya kazi,MOI, NHIF, NIMR, MUHAS?Ukisomea udaktari MD, vitengo kama BoT,TRA,TPDC utavisikia kwenye redio
Mhh labda ulikua tu kilaza mkuu, neurosurgeon anaweza mwezi akaona mgonjwa mmoja tu, ila akavuta mpunga mara kumi ya huko ulipokimbiliaNilikuwa naipenda hii kozi lakini ghafla ilinitoka aisee..kwanza waombaji ni wengiii mno afu maisha ya kazini ni kujitoa sana yaani unaanzia kuteseka ukiwa unasoma hadi unafanya kazi...
Inawezekana hata degree 10 issue uwe tu na vigezoivi kuna uwezekano wa kusoama degree mbili tofauti.
mfano mtu akasoma BCs in biotechnology and labolatory science then baadae akayaka kusoma BCs in microbiology?
Wachache sana, ni ngumu sana kumkuta MD analipwa chini ya Milioni ila ni rahisi sana kuwakuta wahasibu hawana hata hizo ajira zenyewe, ingawa wenzao wengine wanakula milioni 6+ B. O. T.kuna wale wanao soma vikoz vya kawaiwa tu wanamaisha bomba kinyama
MD dunia nzima ina ushindani sio tu Tanzania, kua kilaza ama kushindwa kusoma MD hakuifanyi sociology, ama marketing kua na thamani kuliko MD? [emoji38][emoji38]Yah..kuna vikozi vya kawaida lakini ukipata kazi umetoboa..sasa Hiyo MD dah!.. Kinachoniuma zaidi kila aliyesoma PCB anang'ang'ania iyo iyo ushindani mkubwa..hata ukimshauri mtu aombe kozi ingine ya afya hataki...yaani sasaivi round 2 kuna watu wataomba tena iyo iyo na wakati round 1 walikosa..
Umeelezea Kisomo sana, kwa **** mtu kasoma Archeology akabatika kubaki chuo apige pindi, basi kila akikutana na madogo anawashauri wapige mapindiMkuu believe me, unapohitimu udaktari na ukajua kutibu hata siku moja hutoona uzito kwenye majukumu yako.. Hivyo usifikiri wale wanaotibu watu wanateseka kwenye majukumu yao.
Unasema hivyo kwa kuwa labda hukuipata hiyo nafasi ila amini ninachokuambia.
Kuhusu kupata nafasi ya kusomea MD, of coarse competition ni kubwa.. Ila ukipata nafasi hutojutia.
Zipo course ndogo ndogo ambazo watu wanapiga pesa sana, nakubali.. Lakini omba uwe na bahati!
Mimi nina rafiki yangu alisoma PCM akapata kozi ndogo tu ya science pale CBE ya 3 years inaitwa Metrology (kama sikosei) - inahusika na masuala ya vipimo (ni mpya mpya), mwaka aliomaliza ndio mwaka huo huo wanaajiriwa mawakala wa vipimo wa serikali pale bandari.
Sasa hivi ninavyoongea jamaa anamalizia nyuma yake ya pili, moja ikiwa ya ghorofa. Ni bahati sometimes!
Shida sio kazi ya udaktari, shida ni kupata hio nafasi ya kusoma huo udaktari, acha basi kufananisha hizo concept mbili tofautiNi kweli lakini..ukubali ukatae...kazi ya udaktari ya kujitoa sanaa...afu kingine hiyo kozi sasaivi ina competition kubwa kuliko zamanii...tena sio kitoto...hata vyuo vya private kupata nafasi bila div 2 ya kwanza hupati... Kuna rafiki yangu ana divi 2/12 ameachwa palee st fransis...
Dental we unakua unadeal na meno tu..... Yaani meno tu hadi unazeeka....... MD, unaweza kua neuro, cardio, nephro etcKasome Dental ukijiajiri baadae hutajuta.
We jamaa unareply tu comments bila hata kusoma... Mshakji amesema akasome dental baadae ajiajiri...wewe unaanza kusema MD anaouwezo wa kuwa neuro, cardio...Dental we unakua unadeal na meno tu..... Yaani meno tu hadi unazeeka....... MD, unaweza kua neuro, cardio, nephro etc
Jamaa kusoma MD unajiona genius sana na kuita wenzako vilaza..anyway nimetoa sababu zangu binafsi..na nikweli mimi kilaza lakini hatakama nisingekuwa kilaza nisingesoma MD...wewe baki unapoamini...madaktari wenyewe ukiwaambia unaenda kusomea udaktari wanakwambia bora ukasome phamarcy kuliko hiyo...sasa nani anataka apoteze miaka 6MD dunia nzima ina ushindani sio tu Tanzania, kua kilaza ama kushindwa kusoma MD hakuifanyi sociology, ama marketing kua na thamani kuliko MD? [emoji38][emoji38]
Huko ukisoma law,hrm,accounting, finance, cooperative, md,famas,ICT, nk unaingiaKwani kozi ipi hiyo ukisoma utafanya kazi,MOI, NHIF, NIMR, MUHAS?
Hivi hiyo fani ya dental huwa inafundishwa kwa degree ya kwanza au hadi level ya masters?Kasome Dental ukijiajiri baadae hutajuta.