Mwenye kujua, nje ya Medical Doctor (MD), course gani nyingine ipo kwenye soko miaka 3 hadi 4 ijayo?

Mwenye kujua, nje ya Medical Doctor (MD), course gani nyingine ipo kwenye soko miaka 3 hadi 4 ijayo?

Ukisomea udaktari MD, vitengo kama BoT,TRA,TPDC utavisikia kwenye redio
 
ivi kuna uwezekano wa kusoama degree mbili tofauti.
mfano mtu akasoma BCs in biotechnology and labolatory science then baadae akayaka kusoma BCs in microbiology?
 
Nilikuwa naipenda hii kozi lakini ghafla ilinitoka aisee..kwanza waombaji ni wengiii mno afu maisha ya kazini ni kujitoa sana yaani unaanzia kuteseka ukiwa unasoma hadi unafanya kazi...
kuna wale wanao soma vikoz vya kawaiwa tu wanamaisha bomba kinyama
 
kuna wale wanao soma vikoz vya kawaiwa tu wanamaisha bomba kinyama
Yah..kuna vikozi vya kawaida lakini ukipata kazi umetoboa..sasa Hiyo MD dah!.. Kinachoniuma zaidi kila aliyesoma PCB anang'ang'ania iyo iyo ushindani mkubwa..hata ukimshauri mtu aombe kozi ingine ya afya hataki...yaani sasaivi round 2 kuna watu wataomba tena iyo iyo na wakati round 1 walikosa..
 
Yah..kuna vikozi vya kawaida lakini ukipata kazi umetoboa..sasa Hiyo MD dah!.. Kinachoniuma zaidi kila aliyesoma PCB anang'ang'ania iyo iyo ushindani mkubwa..hata ukimshauri mtu aombe kozi ingine ya afya hataki...yaani sasaivi round 2 kuna watu wataomba tena iyo iyo na wakati round 1 walikosa..
acha tu
 
Nilikuwa naipenda hii kozi lakini ghafla ilinitoka aisee..kwanza waombaji ni wengiii mno afu maisha ya kazini ni kujitoa sana yaani unaanzia kuteseka ukiwa unasoma hadi unafanya kazi...

Mkuu believe me, unapohitimu udaktari na ukajua kutibu hata siku moja hutoona uzito kwenye majukumu yako.. Hivyo usifikiri wale wanaotibu watu wanateseka kwenye majukumu yao.

Unasema hivyo kwa kuwa labda hukuipata hiyo nafasi ila amini ninachokuambia.

Kuhusu kupata nafasi ya kusomea MD, of coarse competition ni kubwa.. Ila ukipata nafasi hutojutia.

Zipo course ndogo ndogo ambazo watu wanapiga pesa sana, nakubali.. Lakini omba uwe na bahati!

Mimi nina rafiki yangu alisoma PCM akapata kozi ndogo tu ya science pale CBE ya 3 years inaitwa Metrology (kama sikosei) - inahusika na masuala ya vipimo (ni mpya mpya), mwaka aliomaliza ndio mwaka huo huo wanaajiriwa mawakala wa vipimo wa serikali pale bandari.

Sasa hivi ninavyoongea jamaa anamalizia nyuma yake ya pili, moja ikiwa ya ghorofa. Ni bahati sometimes!
 
Mkuu believe me, unapohitimu udaktari na ukajua kutibu hata siku moja hutoona uzito kwenye majukumu yako.. Hivyo usifikiri wale wanaotibu watu wanateseka kwenye majukumu yao.

Unasema hivyo kwa kuwa labda hukuipata hiyo nafasi ila amini ninachokuambia.

Kuhusu kupata nafasi ya kusomea MD, of coarse competition ni kubwa.. Ila ukipata nafasi hutojutia.

Zipo course ndogo ndogo ambazo watu wanapiga pesa sana, nakubali.. Lakini omba uwe na bahati!

Mimi nina rafiki yangu alisoma PCM akapata kozi ndogo tu ya science pale IFM ya 3 years inaitwa Metrology (kama sikosei) - inahusika na masuala ya vipimo (ni mpya mpya), mwaka aliomaliza ndio mwaka huo huo wanaajiriwa mawakala wa vipimo wa serikali pale bandari.

Sasa hivi ninavyoongea jamaa anamalizia nyuma yake ya pili, moja ikiwa ya ghorofa. Ni bahati sometimes!
Ni kweli lakini..ukubali ukatae...kazi ya udaktari ya kujitoa sanaa...afu kingine hiyo kozi sasaivi ina competition kubwa kuliko zamanii...tena sio kitoto...hata vyuo vya private kupata nafasi bila div 2 ya kwanza hupati... Kuna rafiki yangu ana divi 2/12 ameachwa palee st fransis...
 
...afu kingine hiyo kozi sasaivi ina competition kubwa kuliko zamanii...tena sio kitoto...hata vyuo vya private kupata nafasi bila div 2 ya kwanza hupati... Kuna rafiki yangu ana divi 2/12 ameachwa palee st fransis...

Nimesikia vigezo vya kusomea udaktari vimeshushwa kwa mwaka huu na TCU, mpaka DIV II.12.

Kuna watu wenye ufaulu huo wanahisi mabadiliko hayo yanawa-favor.. Siwakatishi tamaa ila kiukweli hakuna chuo kinachotaka kumdahili mtu mwenye hizo principals..

Huyo jamaa wako mshauri mapema awe na other alternatives, asikae akasubiri maajabu ya MD kwa hiyo pass mark japo inawezekana kwa mujibu wa TCU.

Mwisho kabisa aombe Kairuki wanaweza wakamfikiria.
 
Nimesikia vigezo vya kusomea udaktari vimeshushwa kwa mwaka huu na TCU, mpaka DIV II.12.

Kuna watu wenye ufaulu huo wanahisi mabadiliko hayo yanawa-favor.. Siwakatishi tamaa ila kiukweli hakuna chuo kinachotaka kumdahili mtu mwenye hizo principals..

Huyo jamaa wako mshauri mapema awe na other alternatives, asikae akasubiri maajabu ya MD kwa hiyo pass mark japo inawezekana kwa mujibu wa TCU.

Mwisho kabisa aombe Kairuki wanaweza wakamfikiria.
Duh ngoja nimwambie...aisee... Sema siku hizi hii kozi ya clinical medicine duh!..ni mtihani kweli vyuo kibaao...yaani kama pale kigamboni city...wameomba watu 600 imejaa..juzi nilipigiwa simu na vyuo vya private vya afya kama vinne wananilazimisha nijiunge kwao...hawa wanategemea baadae waje kusoma MD kudadeki
 
Nipo kwenye hii field mkuu..! Najua nnachokiongea..! NACTE wanatoa transcript kutokana na matokeo yaliyopelekwa na chuo husika..!

Nakupa assignment, fuatilia CO waliohitimu before 2015 na kuanzia 2015 halafu utapata majibu..!

Baada ya TCU kupandisha GPA kutoka 2.7 mpaka 3.5 kumekuwa na ongezeko kubwa la GPA > 4
yani kama cjakuelewa vile em fafanua vizuri mkuu kwamba nacte wanatoaje hizo GPA kwa kusaidiwa na chuo husika au kwa mitihani yao ya nacte ya kila mwisho wa semester ya kila mwaka
 
Habari za uzima, Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari na aya ndio matokeo yake ya O-LEVEL (NI BINTI)

O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B
Basic Mathematics....C

Amesoma Diploma ya Clinical Medicine amepata GPA ya 4.1/5.0

Na vyuo nilivyomfanyia application mpaka sasa ni vyuo 5, (UDOM (MD), UDSM(MD), MUHAS (MD), KCMC (MD), NA ST FRSNCIS CHA MOROGORO (MD) ),

Matokeo yameshatoka ya vyuo vyote nilivyomuombea hapo juu, na mpaka sasa hajapata chuo chochote kile, tangu jana amekaa ndani analia tu, nimejaribu kumuuliza je kuna course nyingine yeyote ya mambo yanayohusina na afya anapenda tuombe yeye anasema yeye alifikili atapata MD, hizo zingine hazifahamu vizuri, sasa naombeni msaada wenu wakuu ni course gani nzuri ambayo ipo kwenye soko la ajira kwa miaka 3 au 4 mbele atakapomaliza masomo yake.

Nawakaribisha kwa ushauri ndugu zangu tumsaidie mdogo wetu.

karibuni.
Asome bachelor of medical imaging science and radiotherapy bugando au bachelor of radiotherapy muhas
 
Back
Top Bottom