Mwenye kujua sababu za goli la Singida FG kukataliwa atueleze

Mwenye kujua sababu za goli la Singida FG kukataliwa atueleze

Watu mna muda wa kuchezea sana. Unarudia zaidi ya mara 20 ili iweje? Kama ni mchambuzi (labda pengine ndio kazi yako), mbona ukirudia mara tano hivi inatosha sana kupata kitu cha kuzungumza? Sasa zaidi ya mara 20 (sio mara 20, ni zaidi ya mara 20), kwamba inawezekana yakatokea mabadiliko?
Sawa
 
Head to head Yanga kashinda game 39, simba 22.
Yanga kamfunga goal nyingi simba kuliko simba alizoifunga yanga.
ongezeni bidii
Nilisikia argument hii akiitumia shabiki wa Man United.Wameshinda mechi nyingi.Haisaidii.
 
Ukiona kelele na malalamiko yanaanza jua mambo sio yaliyotegemewa.Moto wa jikoni unaanza kufika sitting room.Ihefu wameleta tabu sana.
 
Nimerudia zaidi ya mara 20 kutazama hili tukio, lakini sijaona sababu za kukataliwa kwa goli la Singida FG.

Kwakuwa humu JF kuna wabobezi wa sheria ya offside, ni vema tupeane elimu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Natanguliza shukrani
Fanya kazi Achana na betting za watu
 
Head to head Yanga kashinda game 39, simba 22.
Yanga kamfunga goal nyingi simba kuliko simba alizoifunga yanga.
ongezeni bidii
Haifuti bao Tano wa sita

Wala haiondoi offsides
 
Kwenye video ni kama mchezaji wa Singida alikuwa offside kabla halafu akaiua akarudi nyuma move ya vipasi ilipotokea akapata mpira akafunga kukiwa na mabeki wawili,sasa sijui refa aliangalia offside ya kabla ila mbona mchezaji aliua akarudi na mpira ukaendelea kwa mda
Sio Refa......mshika kibendera....ndio alinyoosha kibendera kuashiria off side.
 
Tushaswma San wanawake hawafai ktk kuchezesha mipira ila bado wanawajaza Kama vip ligi iwe ya wanawake Basi

Kina Martin saanya alikuwa refa Bora Sana ila siku hz wamemuacha
Pia alishafungiwa hapo awali kwa kukosea sheria za mpira
 
UONGOZI WA Simba ni Mbovu Sana.
Hawaelewi Wala hawasikii ushauri,
Wanatimu mbovu mno.

Timu Yao ni Tia maji Tia maji.
Manula anaumia unaenda kuokota AYUBU mdaka panzi( Ili uwaibie Simba Fedha za super cup)

Mizigo mingine ya kuanza kuipunguza.

1. AYOUB Lakred
2. Sadio Kanute.
3. Aubin kramo.
4. Essomba Onana.
5. Luis MIQUISSONE.
6. Moses phili.
7. Saido Ntibazonkiza.
Tumekuelewa dada au kuna kingine cha kusema
 
Wengine tulishajiaandaa kisaikorojia hiki kinachoendelea kutengenezea simba mazingira ya ubingwa.

Fuatilia mechi za simba kuanzia Ngao ya jamii. Ni aibu.
Hata kile kichoendelea kwenye mechi ya Yanga Sc dhidi ya Ihefu, nacho ni kuitengenezea Simba Sc mazingira ya ubingwa..?
 
Wengine tulishajiaandaa kisaikorojia hiki kinachoendelea kutengenezea simba mazingira ya ubingwa.

Fuatilia mechi za simba kuanzia Ngao ya jamii. Ni aibu.
Halafu mechi za Simba zote marefa ni mademu. Pia, kila mechi za Simba ana cheza siku 1 baada ya Yanga kucheza. Why ratiba isiwe ya kubabilishana kwa Vilabu kuanza mzunguko? Kati ya Simba, Yanga na Azam.
 
Ubingwa unatafutwa Kwa udi na uvumba

Yanga anachotakiwa kufanya na kuupiga mwingi kimataifa,Nina wasiwasi hataupata ubingwa kama Hali hii ikiendelea
Sio ubingwa, hata nafasi ya tatu mkiipata shukuruni mungu mbuzi nyie na bado hamjasema [emoji23][emoji23]
 
Mlivyopangiwa mechi tatu mfululizo nyumbani kelele zikawa nyingi.Joto limeanza kwa Ihefu malalamiko yameanza.Hamna timu ya kushindana mna ngebe na wachambuzi uchwara wanaowakweza.
 
Head to head Yanga kashinda game 39, simba 22.
Yanga kamfunga goal nyingi simba kuliko simba alizoifunga yanga.
ongezeni bidii
Hizo gemu zote ulikuwa umezaliwa au ulishuhudia ukiwa shambani kabla ya karanga kupandwa?wenzio wameshuhudia Yanga akikandwa 4-0,4-1 na 5-0 wewe umebakisha simulizi za wahenga.Man United amemfungs Man City mara nyingi,hii Ina faida gani kwa Man United?
 
Kwenye video ni kama mchezaji wa Singida alikuwa offside kabla halafu akaiua akarudi nyuma move ya vipasi ilipotokea akapata mpira akafunga kukiwa na mabeki wawili,sasa sijui refa aliangalia offside ya kabla ila mbona mchezaji aliua akarudi na mpira ukaendelea kwa mda
Hawa marefa wa kike wapo kimkakati
 
Halafu mechi za Simba zote marefa ni mademu. Pia, kila mechi za Simba ana cheza siku 1 baada ya Yanga kucheza. Why ratiba isiwe ya kubabilishana kwa Vilabu kuanza mzunguko? Kati ya Simba, Yanga na Azam.
Hapa tatizo ni kubwa. Hasa tatizo linaanzia kwa karia
 
Jaribu kurudia mara ya 21, kuna mabadiliko

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
UONGOZI WA Simba ni Mbovu Sana.
Hawaelewi Wala hawasikii ushauri,
Wanatimu mbovu mno.

Timu Yao ni Tia maji Tia maji.
Manula anaumia unaenda kuokota AYUBU mdaka panzi( Ili uwaibie Simba Fedha za super cup)

Mizigo mingine ya kuanza kuipunguza.

1. AYOUB Lakred
2. Sadio Kanute.
3. Aubin kramo.
4. Essomba Onana.
5. Luis MIQUISSONE.
6. Moses phili.
7. Saido Ntibazonkiza.
Kichwani umejaza ugiligili
 
Back
Top Bottom