The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyu Wema Sepetu kwani ndio nani huko Daslam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kati ya 47 na 52Mama ya ke mzazi, ndiyo anajua huyo binti alizaliwa lini na baba yake ni nani
Ni muisiharamu mwezio huyo ..Huyu Wema Sepetu kwani ndio nani huko Daslam?
Katika watu huyu anatoka??mbona CV za watu mnataka kuzijua lakini mengine mnajibalaguza
Kwahiyo alisoma University akiwa below 10?View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Wikipedia mtu anaweza edit. Nadhani sio zote lakini.Kwahiyo alisoma University akiwa below 10?
Wema amezaliwa mwaka 1988.Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani !. cha wasichana,dada,mama,watuwazima au wakongwe.
Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.
Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapanaView attachment 2484460
🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
2006 nilikuwa form two na miaka 15 Wema tunamshuhudia kashiriki umiss Leo hii nimepishana nae mwaka mmoja, mastaa hawakui kwa kweliWema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani !. cha wasichana,dada,mama,watuwazima au wakongwe.
Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.
Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapanaView attachment 2484460
Ni kwasu kwasu lenye kunenepa kwa vipindi maalum.Huyu Wema Sepetu kwani ndio nani huko Daslam?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣2005 nilikuwa form one na miaka 14 Wema tunamshuhudia kashiriki umiss Leo hii nimepishana nae mwaka mmoja, mastaa hawakui kwa kweli
Shikamoo DadaMimi sijazawaliwa mwaka huo acha uongoo mie nimezaliwa 90 kama hutaki jiue
Jiulize swali kama alizaliwa 90 elfu 2006 akashinda umiss kweli nadhani huyu ni WA 82 au 832006 alikuwa ana range 18-20 kadiria