Mwenye kujua umri wa Wema Sepetu

Mwenye kujua umri wa Wema Sepetu

Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani !. cha wasichana,dada,mama,watuwazima au wakongwe.

Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.

Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapanaView attachment 2484460
Yaani kweli mtu mzima mwenye maarifa anaweza kupoteza muda kujadili umri wa Wema???
Hivi ukiambiwa anamiaka 32 au hata 45 itakusaidia nini???
Acheni dada wa watu aendelee na maisha yake
Utashangaa watu wanalalamika maisha magumu huku wanapoteza muda kujadili maisha ya watu!!!
 
Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani !. cha wasichana,dada,mama,watuwazima au wakongwe.

Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.

Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapanaView attachment 2484460
Ninasikia eti kuuliza umri wa mwanamke ni aina ya shambulizi la aibu la kijinsia na kudhalilisha utu wake.

Wewe fuatilia interview yoyote anayohojiwa mwanamke kisha achomekewe swali la umri, utasikia : "no comment"!

Huwa inachukuliwa kuwa kumhoji mwanamke ili kujua umri wake ni sawa na kumchungulia bafuni akioga ama kumvua nguo hadharani.

Waswahili huhoji: "wataka kujua umri wa mwanamke ili ugundue nini?".
 
Alidanganya umri ili ashiriki Miss Tanz

Alidanganya umri
Amezaliwa
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.

Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
1990 mpaka sasa ana umri wa takribani miaka 33

Hivyo wadau wana uliza ina maana wakati yeye anashiriki umiss mwaka 2006 alikuwa na miaka 16

Je aliongeza umri au alipunguza kipindi hicho?

Kwa mujibu wako aliongeza ili ashiriki, ina maana wakati huo aliongeza kufikia miaka 18 au 20?

Ila wewe umeng’ang’ania alidanganya alidanganya bila kufafanulia watu waweze kuelewa
 
Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani !. cha wasichana,dada,mama,watuwazima au wakongwe.

Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana.leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana watoto wapo shule za msingi, sekondari na vyuo.

Ina maana umri tumeletewa au tunazeeka wachache nchi ila wasanii hapanaView attachment 2484460
Miaka 30 hadi 35
 
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.

Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Hizi futuhi muwage mnaangalia Pa kuwekaaa, lol
 
Watu ambao hata baraza la mitihani likiuliza umri wao lazima wanafunzi wafeli
1:Humphrey polepole
2:Steve nyerere
3:Juma kaseja
4:wema sepetu

Tena polepole ndio anachanganya zaidi..asubuhi ukimuona ni kama mzee kiaina..ukikutana nae mchana kama dogo wa advance..usiku kama kijana..ili mradi haeleweki tu
 
Wema ni bado underage, kwahiyo msimsumbue humu kwenye mitandao.
 
Watu ambao hata baraza la mitihani likiuliza umri wao lazima wanafunzi wafeli
1:Humphrey polepole
2:Steve nyerere
3:Juma kaseja
4:wema sepetu

Tena polepole ndio anachanganya zaidi..asubuhi ukimuona ni kama mzee kiaina..ukikutana nae mchana kama dogo wa advance..usiku kama kijana..ili mradi haeleweki tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom