Mwenye kujua umri wa Wema Sepetu

Mwenye kujua umri wa Wema Sepetu

Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.

Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Kwa hyo alichukua miss Tanzania akiwa na miaka 16😳
 
Mbona ni Simpe tu Mkuu.

2006 alishiriki Miss Tz ambapo mshiriki lazima awe 18+ ......Tuki assume 2006 alikuwa na 18 Basi Jumlisha 16 mpaka sasa.

Kwahiyo Wema Sependa yupo 34+
 
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.

Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.

Case Closed.

Da Mange Kasema.... 😀
 
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Sawa
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Haiwezekani hata kidogo wema awe na 32 hivi sasa.
Nimeajiriwa 2009 wakati huo nikiwa chalii sanaaaa ila miaka niliyorundika hivi sasa ni zaidi ya hiyo 32 na nimekua nikimtazama kama dada mkubwa
 
Hu
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.

Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Huo ni uongoo acheni uongoo
 
Sawa

Haiwezekani hata kidogo wema awe na 32 hivi sasa.
Nimeajiriwa 2009 wakati huo nikiwa chalii sanaaaa ila miaka niliyorundika hivi sasa ni zaidi ya hiyo 32 na nimekua nikimtazama kama dada mkubwa
Huyo ni 40
 
YUKO HAPA KWAKE MBAGALA KIJICHI NITAVIZIA SIKU ANATOKA AU ANAINGIA NDANI NIMUULIZE
 
Kama baba ana miaka 33,
huyu binti yake mkuu wa wilay alimzaa na miaka mingapi[emoji848]
download-29.jpg
 
Watu ambao hata baraza la mitihani likiuliza umri wao lazima wanafunzi wafeli
1:Humphrey polepole
2:Steve nyerere
3:Juma kaseja
4:wema sepetu

Tena polepole ndio anachanganya zaidi..asubuhi ukimuona ni kama mzee kiaina..ukikutana nae mchana kama dogo wa advance..usiku kama kijana..ili mradi haeleweki tu
.
FB_IMG_1583385369264.jpg
 
Back
Top Bottom