McCollum
JF-Expert Member
- Jan 10, 2023
- 384
- 684
Hii ndo funga kazi 😂😂😂😂View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo funga kazi 😂😂😂😂View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Kwa hyo alichukua miss Tanzania akiwa na miaka 16😳Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Kazaliwa 1988Kama kazaliwa 1990 alipokea umiss 2006 akiwa 16
Wema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
SawaWema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Haiwezekani hata kidogo wema awe na 32 hivi sasa.Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Huo ni uongoo acheni uongooWema Sepetu amezaliwa mwaka 1990. Nina uhakika na hili, taarifa hii nilipenyezewa na classmate wake (binamu yangu) waliyesoma naye Academic International School.
Huyo binamu yangu naye alitamani kwenda Miss Tanzania kikwazo ikawa umri mdogo. Alisema Wema alidanganya umri ili ashiriki. Hata Mange aliwahi sema hii kitu.
Huyo ni 40Sawa
Haiwezekani hata kidogo wema awe na 32 hivi sasa.
Nimeajiriwa 2009 wakati huo nikiwa chalii sanaaaa ila miaka niliyorundika hivi sasa ni zaidi ya hiyo 32 na nimekua nikimtazama kama dada mkubwa
Wema atakuwa amenizidi 10+ yuko kwenye 45 hukoHuyo ni 40
Wema kasoma University ipi?Kwahiyo alisoma University akiwa below 10?
Kwake au alipopanga?YUKO HAPA KWAKE MBAGALA KIJICHI NITAVIZIA SIKU ANATOKA AU ANAINGIA NDANI NIMUULIZE
Kama baba ana miaka 33,View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
Kwamba alizaliwa 89,View attachment 2484497
mwengine huyu hapa
.Watu ambao hata baraza la mitihani likiuliza umri wao lazima wanafunzi wafeli
1:Humphrey polepole
2:Steve nyerere
3:Juma kaseja
4:wema sepetu
Tena polepole ndio anachanganya zaidi..asubuhi ukimuona ni kama mzee kiaina..ukikutana nae mchana kama dogo wa advance..usiku kama kijana..ili mradi haeleweki tu
Between 1985 to 1990 alikuwa photographer maarufu kwenye viwanja vya kula bata.View attachment 2484497
mwengine huyu hapa