ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Mdogo wangu aliachwa na mkewe mwaka mmoja uliopita.Katika hali isiyokuwa ya kawaida akamuandikia barua kuwa hamtaki tena na akamkabidhi barua hiyo mbele ya mtendaji.
Agosti 2016 akaenda mahakamani kudai talaka.Jana hakimu katoa uamuzi huu,kuanzia leo mko huru.Wa kuoa aoe na wa kuolewa aolewe.Nendeni nyumbani na muhesabu siku 45 toka leo halafu mrudi hapa mahakamani kwa hatua ya mwisho.Ila kila mmoja wenu itabidi ajigharamikie kwa gharama hizo ndogo.
Ninachoomba mnieleweshe hizo gharama ni za nini?Au ndoa ikivunjwa mahakama inatoa hati za talaka?
Agosti 2016 akaenda mahakamani kudai talaka.Jana hakimu katoa uamuzi huu,kuanzia leo mko huru.Wa kuoa aoe na wa kuolewa aolewe.Nendeni nyumbani na muhesabu siku 45 toka leo halafu mrudi hapa mahakamani kwa hatua ya mwisho.Ila kila mmoja wenu itabidi ajigharamikie kwa gharama hizo ndogo.
Ninachoomba mnieleweshe hizo gharama ni za nini?Au ndoa ikivunjwa mahakama inatoa hati za talaka?