Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yeye,kajichorea TU ,hajui maana yake!
In short anazungumzia jinsi Tanzania sasa ilivyokufa na Kuzikwa mazima Makaburi ya Kinondoni.
Ungeweka Jeneza,popote kwenye hizi picha, ningekupa jibu sahihi!
1. "wasila"
Hapo CCM alikua anategemea CHADEMA itakufa so akachimba kaburi la Lisu na la Chadema.
Mh we Ndio hujui kabisaaaIn short anazungumzia jinsi Tanzania sasa ilivyokufa na Kuzikwa mazima Makaburi ya Kinondoni.
Hii inaitwa
Masoud n akili kubwa sana. Ni tunu ya taifa pia
Vegetables huyo kachukua kaburi kalijaza maji sasa anaogolea mwenyewe kajizika maana hayo maji yakikauka tunazika mazima Vegetables ana vituko kweli kweli
😃Utadhani ni wasira huyo eti?