Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

Ngoja niwafungulie code, huyo ni FAM alichimba makaburi mawili, moja la TAL na Heche huku yeye akiwa kavaa shati la veggies anawasubiria wafe kisiasa awafukie..!! Ili aendelee kutafuna ruzuku na maridhiano.
Matokeo yake kadumbukia mwenyewe na kaona avue na shati la veggies awe free kuogolea kwenye makaburi yaliyojaa maji..!!

Half american umeelewa?
 
Ngoja niwafungulie code, huyo ni FAM alichimba makaburi mawili, moja la TAL na Heche huku yeye akiwa kavaa shati la veggies anawasubiria wafe kisiasa awafukie..!! Ili aendelee kutafuna ruzuku na maridhiano.
Matokeo yake kadumbukia mwenyewe na kaona avue na shati la veggies awe free kuogolea kwenye makaburi yaliyojaa maji..!!

Half american umeelewa?
Nimeelewa sana na huyo si ndio free
 
1739652811319.png



1739652892817.png


1739652927977.png
 
Back
Top Bottom