Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

Makamu mwenyekiti sisiem aliharibu kwenye vyama vyote viwili alivyoenda(makaburi mawili), alikuwa sisiem akavuruga akaenda NCCR akafungiwa asishiriki siasa miaka kadhaa, karudi sisiem 😀 akasubiri sana(hapo anasubiri anahuzuni), ndio sahivi kapata cheo kikubwa (hapo swimming pool)
 
Picha ya wassira,inatia aibu picha ya Saa100😳😳
 

Attachments

  • IMG-20250130-WA0066.jpg
    IMG-20250130-WA0066.jpg
    126.4 KB · Views: 2
Hapo CCM alikua anategemea CHADEMA itakufa so akachimba kaburi la Lisu na la Chadema.
Kupitia uchaguzi wa 21.1.25

Hawajafa sasa makaburi anataka his Nini na masika Ndio hiyoo imeanza
kwahiyo chadema ni wakristo?
 
Ccm alikuwa anasubiri chadema ife ili aizike lkn haijafa!, so makaburi yamejaa maji kayageuza kuwa swimming pool!.
Wewe ndiye umepatia. Hayo yalikuwa makaburi ya kisiasa ya Mbowe na Lissu. CCM alisikia ugomvi mwanzoni akaenda kuchimba makaburi na kujenga kibanda akisubiri. Ugomvi ukazidi kuwa mkubwa akasogelea makaburi tayari kwa mazishi, uchaguzi ulipofika ndiyo kabisa akaona kazi imemalizika. Kumbe hakujua, alisubiri mpaka makaburi yamejaa maji na hakuna kilichotokea.
 
Back
Top Bottom