Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

Ngoja niwafungulie code, huyo ni FAM alichimba makaburi mawili, moja la TAL na Heche huku yeye akiwa kavaa shati la veggies anawasubiria wafe kisiasa awafukie..!! Ili aendelee kutafuna ruzuku na maridhiano.
Matokeo yake kadumbukia mwenyewe na kaona avue na shati la veggies awe free kuogolea kwenye makaburi yaliyojaa maji..!!

Half american umeelewa?
 
Nimeelewa sana na huyo si ndio free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…