Hilo jinga linajifanyaga Lina akili ukweli anajichorea vt asivyovielewa mwenyewe
Nimeelewa sana na huyo si ndio freeNgoja niwafungulie code, huyo ni FAM alichimba makaburi mawili, moja la TAL na Heche huku yeye akiwa kavaa shati la veggies anawasubiria wafe kisiasa awafukie..!! Ili aendelee kutafuna ruzuku na maridhiano.
Matokeo yake kadumbukia mwenyewe na kaona avue na shati la veggies awe free kuogolea kwenye makaburi yaliyojaa maji..!!
Half american umeelewa?
Hii ndio tafsiri sahihiCcm alikuwa anasubiri chadema ife ili aizike lkn haijafa!, so makaburi yamejaa maji kayageuza kuwa swimming pool!.
Kama advocate wako hafanyiwi dialysis, mi nitakuwa safari nje ya kijiji hiki🏃♂️🏃♂️Utadhani ni wasira huyo eti?
Muelewe msielewe ye anafikisha ujumbe aloukusudia