je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
@fenisher ebhana naomba nitumie pm naona hapa kwangu haifungukiKazi kwenu...kusoma na kumuomba MunguView attachment 2443424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@fenisher ebhana naomba nitumie pm naona hapa kwangu haifungukiKazi kwenu...kusoma na kumuomba MunguView attachment 2443424
Hizi attachments mbona kwangu hazifunguki.Mengine haya...View attachment 2443676
anagalia taratibu kwa makini, tumia review kama uko na MacBook ama simply pdf/adobe finder kwa kutumia majina yako yote ie Caps On. Ama ni PM jina nikuchekie kama hutojali, full nameMimi kwenye profile wameandika listed hila kwenye list Yao jina alipo
Boss Mimi haifunguki na doc imejiandika bin na sio pdf nifanyeje ili ifunguke na Mimi nipate kuyapitia hayo maswali ili nijiandaeKazi kwenu...kusoma na kumuomba MunguView attachment 2443424
Mimi haifunguki na doc imejiandika bin na sio pdf nifanyeje ili ifunguke na Mimi niweze kujiandaaKazi kwenu...kusoma na kumuomba MunguView attachment 2443424
1. Taja kanuni za msingi za kodi.Habari wakuu,
Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer TRA, atusaidie.
Boss kwangu hata hayafunguki sijui kwa nn document inasoma bin badala ya pdfMengine haya...View attachment 2443676
Mkuu kwani diploma sio elimu?Yaani kumbe una diploma alafu ulikuwa unashauri upopoma kwenye placement yangu ya utumishi Dah jamii forum shikamoo na unatafuta kazi?
Mdogo sana ki umri level kama hiyo nilipita kitambo tena ulinipa maneno yasiyo na busara, imagine nilijua CEO fulani Dah dunia hii. Kweli key body zinaficha mengi.Mkuu kwani diploma sio elimu?
Peper ni nini mkuu!!Habari wakuu,
Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer TRA, atusaidie.
Asante sana. Na kama yupo mwenye maswali ya administrative officer, atusaidie pia.Habari wakuu,
Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer TRA, atusaidie.
Jamii forum ni ngumu sana kumwelewa mtu. Huu ni mtandao wa kificho ndio maana tunatumia majina ya kificho na profile picture za kificho. Ukiweza kumfahamu mtu wa jamii forum tayari privacy ya jamii forum inakua imesha haribika. Tunavyo viona humu yawezekana nivya wahusika wenyewe au sio vya wahusika. Kwa hiyo hatuna uhakika. Kama hatuna uhakika hiyo ndio privacy ya jamii forum.Mdogo sana ki umri level kama hiyo nilipita kitambo tena ulinipa maneno yasiyo na busara, imagine nilijua CEO fulani Dah dunia hii. Kweli key body zinaficha mengi.
Yaani wewe ndio ungeacha dharau na kuniomba nikukonect hapo TRA mkuu.Punguza maneno ya dharau kwenye nyuzi za watu wengineo kaka zako wanaweza kukusaidia kesho
Mfano TRA uko kuna watu waliotangulia kitambo stay humble.
Sawa msaada mkuuYaani wewe ndio ungeacha dharau na kuniomba nikukonect hapo TRA mkuu.
😀Yaani wewe ndio ungeacha dharau na kuniomba nikukonect hapo TRA mkuu.