Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer

Mimi kwenye profile wameandika listed hila kwenye list Yao jina alipo
anagalia taratibu kwa makini, tumia review kama uko na MacBook ama simply pdf/adobe finder kwa kutumia majina yako yote ie Caps On. Ama ni PM jina nikuchekie kama hutojali, full name
 
Yaani kumbe una diploma alafu ulikuwa unashauri upopoma kwenye placement yangu ya utumishi Dah jamii forum shikamoo na unatafuta kazi?
 
Uzi umefukuliwa

Vp mtoa mada alitoboa ?
 
Mdogo sana ki umri level kama hiyo nilipita kitambo tena ulinipa maneno yasiyo na busara, imagine nilijua CEO fulani Dah dunia hii. Kweli key body zinaficha mengi.
Jamii forum ni ngumu sana kumwelewa mtu. Huu ni mtandao wa kificho ndio maana tunatumia majina ya kificho na profile picture za kificho. Ukiweza kumfahamu mtu wa jamii forum tayari privacy ya jamii forum inakua imesha haribika. Tunavyo viona humu yawezekana nivya wahusika wenyewe au sio vya wahusika. Kwa hiyo hatuna uhakika. Kama hatuna uhakika hiyo ndio privacy ya jamii forum.
 
Punguza maneno ya dharau kwenye nyuzi za watu wengineo kaka zako wanaweza kukusaidia kesho

Mfano TRA uko kuna watu waliotangulia kitambo stay humble.
Yaani wewe ndio ungeacha dharau na kuniomba nikukonect hapo TRA mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…