joshua advocate
Member
- Sep 25, 2014
- 30
- 1
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu binafsi.Nimefanya hivi kwa imani kuwa mkopo utatoka siku si nyingi, wadau tusaidiane, naogopa kukopa
Hamna ni imani tu mkuuMkuu ushajihakikishia kuwa utapata?
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu binafsi.Nimefanya hivi kwa imani kuwa mkopo utatoka siku si nyingi, wadau tusaidiane, naogopa kukopa
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu binafsi.Nimefanya hivi kwa imani kuwa mkopo utatoka siku si nyingi, wadau tusaidiane, naogopa kukopa
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu binafsi.Nimefanya hivi kwa imani kuwa mkopo utatoka siku si nyingi, wadau tusaidiane, naogopa kukopa
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu binafsi.Nimefanya hivi kwa imani kuwa mkopo utatoka siku si nyingi, wadau tusaidiane, naogopa kukopa
Jibane uwezavyo, kama utakua UDSM nenda pale caf 1 weka bili ya kula hata miezi miwili
Kingine usinunue maji ya kunywa cha msingi tafuta jagi la kuchemshia maji kwa tuliopita pale tunaita ku-google maji,
Usipende matumizi yasiyo na maana kama kula kula, kunywa soda za pale k/koo kila unapojiskia eti umetoka kusoma usiku unaenda kununua soda/juice na keki wakati ulikua umeshakula chakula cha jioni.
Epuka kula vitu vya bei kubwa kwa kufuata mkumbo kisa umeona mwenzio anakunywa supu na chapata pale caf 2 nawewe unajipima ubavu? Thubutuuu!!!
Punguza outing zako sio kila muda uko mwenge, mara mjini, kingine sehemu kama ubungo ikiwa hauna haraka ni vizuri uende kwa miguu maana utafanya mazoezi na utaepusha gharama.
Control matumizi ya vocha, tumia university promotion ndugu vinginevyo utakula 001 au 101et al.
Chunga sana style yako ya kula sio unakula wali juice na matunda pembeni.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Hiyo ni experience yangu wakati nikipiga miaka yangu hapo JK Nyerere Mlimani Campus.
-Chai tumia 600(yaani chai rangi 200,maandazi 2 @200)
-Lunch 1200(Ugali au wali maharage,mchuzi na mboga za majani)
-Dinner 1200 as lunch
-maji 2 @500=1000
-vocha 500
-hutokuwa na gharama ya nauli kwani pale NIT hostel za lupanga zipo karibu sana na chuo yaani mabibo kwa hiyo utatembea tu.
Jumla 4500
7500-4500=3000
Ukiweka 3000 kila siku kwa mwezi utakuwa na sh.90000/=
Hiyo elfu90 ipeleke bank kila mwezi ufungue fixed account ambayo kwa mwaka
Utaweka 720,000/=
Kwa miaka mitatu utaweka 2,160,000/=
Kwa hiyo ukijumlisha riba ya fixed account itafika kwenye million tatu na zaidi.
Sasa baada ya kumaliza chuo wewe unaingia kwenye biashara yamtaji Wa milion tatu au unaenda kwenye kilimo kwa miaka miwili tu hutaitaji kuajiliwa tena.
Usishangae inawezekana sema vijana tunapenda starehe sana hatujui kuwa nmafanikio yanaanza na shida, sisi tunataka tuanze na raha ndipo tupate mafanikio, nikitu ambacho hakiwezekani.
Ndio maana mchaga anaanza na kimeza cha pipi, sigara na biskuti lkn baadae unamkuta ana duka kubwa sana.
Thanks my friend try it.
acha uwongo wewe inamaana matumizi ni kula tu na usafiri na mwaka wa chuo ni siku kama 240 tu yaani kwa mwaka upewe 900 wewe huifazi 720 kichwa yako inafanya kazi vizuri kweli?